bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,642
Habari za usiku ndugu katika Jukwaa hili. Nimekuwa njia panda nikijaribu kufikiria kipi ni bora kukifanya kati ya hivyo viwili katika heading hapo.
Hebu tujaribu kupanuana mawazo katika hivi vitu viwili, ni kipi bora kukifanya kwanza kati ya kupanda miti ya miembe ya kisasa au kupanda miti ya mbao ya Mitiki?
Let say una ekari zako tano(5) then unataka kuwekeza ktk haya mazao mawili. Miembe ya kisasa wastani inachukua mwaka 1.5------>3 mpaka kuanza kuvuna hivyo inaanza kukingizia kipato ndani ya muda mfupi.
Mitiki kama miti ya mbao inachukua muda mrefu kuanzia miaka20 na kuendelea mpaka kuivuna japo ukiikatia hati miliki una uwezo wa kukopa kiasi kikubwa cha pesa toka benki iwapo shamba lako umelitunza vema.
Sasa naomba tuchangiane mawazo katika hili kipi bora kukipanda ili kuhakikisha unapata ustawi mzuri na kizazi chako(watoto)wanabaki na urithi wa maana?.Tafadhali maskhara tuweke pembeni kwanza.
Karibuni kwa mawazo.
Hebu tujaribu kupanuana mawazo katika hivi vitu viwili, ni kipi bora kukifanya kwanza kati ya kupanda miti ya miembe ya kisasa au kupanda miti ya mbao ya Mitiki?
Let say una ekari zako tano(5) then unataka kuwekeza ktk haya mazao mawili. Miembe ya kisasa wastani inachukua mwaka 1.5------>3 mpaka kuanza kuvuna hivyo inaanza kukingizia kipato ndani ya muda mfupi.
Mitiki kama miti ya mbao inachukua muda mrefu kuanzia miaka20 na kuendelea mpaka kuivuna japo ukiikatia hati miliki una uwezo wa kukopa kiasi kikubwa cha pesa toka benki iwapo shamba lako umelitunza vema.
Sasa naomba tuchangiane mawazo katika hili kipi bora kukipanda ili kuhakikisha unapata ustawi mzuri na kizazi chako(watoto)wanabaki na urithi wa maana?.Tafadhali maskhara tuweke pembeni kwanza.
Karibuni kwa mawazo.