Habari,
Shamba la miti (mitiki) LINAUZWA,
heka 14 na nusu
Miti: 4000 na zaidi yenye umri wa miaka 14
Bei: 500m miti elfu 4000 na kuendelea
Mahali: Tanga, Muheza kijiji cha kiwanda
Document: zina process manispa
Habari za usiku ndugu katika Jukwaa hili. Nimekuwa njia panda nikijaribu kufikiria kipi ni bora kukifanya kati ya hivyo viwili katika heading hapo.
Hebu tujaribu kupanuana mawazo katika hivi vitu viwili, ni kipi bora kukifanya kwanza kati ya kupanda miti ya miembe ya kisasa au kupanda miti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.