MNJONJO 10
New Member
- May 27, 2022
- 2
- 0
Nina mdogo wangu ana degree ya Ualimu na ni mwajiriwa Tanga. Kwa sasa anataka kwenda kusoma diploma ya quality assuarer au physical education.
Je, kipi Bora na chenye tija Kati ya hiv vitu viwili?
Je, kipi Bora na chenye tija Kati ya hiv vitu viwili?