Mfupawasokwe
Member
- Sep 12, 2024
- 78
- 129
Kati ya kufumaniwa na mke wa mtu na kukutwa unafanya uchawi kipi kina afadhali.
Msala gani una afadhali kati ya hiyo misala miwili?😁
Msala gani una afadhali kati ya hiyo misala miwili?😁
Yani utafikiri ni sifa sasa ..wabongo ni 🚮🚮Wote huo ni ujinga tu na wapumbavu tu ndio wanauendekeza🚮
😁😁😁😁Yani utafikiri ni sifa sasa ..wabongo ni 🚮🚮
Unasema wa kenya hawajadili upuuzi? Fanya tafiti vizuri mzee😂😂😂Maswali kama haya huwez kuta kwenye majukwaa hata ya kenya tu jirani zetu wanajadili kwenye mitandao yao sisi bado sn kuanzia raia mmoja mmoja mpk taifa kwa ujumla
Nimeishi sn kule hata juzi tu nimetoka hata ka upuuzi sio ka huuUnasema wa kenya hawajadili upuuzi? Fanya tafiti vizuri mzee😂😂😂