Kipengele cha 'DINI' ktk vitambulisho vya taifa

Si busara kuwatukana watu ambao hukubaliani nao kimawazo hata kama mawazo yao yanaathiri maslahi yako binafsi.Mwanzisha mada ni vizuri akatumia busara katika ku'present mada yake.'Wajinga wachache' sio lugha nzuri.
 
Kwenye vitambulisho vya taifa hakuna cha Uamusho wa genge la Ponda wanavikataa. Kama mnajifanya mnasimamo gomeni na kupewa vitambusho vya Nida. Na wale wote Wazanzibar wanaotaka kupumua ni muda muafaka sasa wa kugomea vitambulisho vya Tanzania kama mnaubavu. Mkigoma zoezi la vitambulisho likiisha mjiandae kuchagua nchi ya kwenda, mtakuwa mmesharenounce uraia wa Jamhuri Tukufu ya Muungano wa Tanzania bara na Tanzania Visiwani, sh...#$&...t *10
 
Kuna watu hapa wamepafanya kama kijiweni kutwa kucha wanatukoroga tu! wenzetu wamisri na watunisia walitumia forum kama hizi kujikomboa lakini sisi kila siku kukorogana tu hakuna aidia mpya yani basi vurugu tu hapa!
 
Makafiri wataninifanya nipigwe ban humu jf hivi kukaa na kuzungumza yenu hamuwezi hadi mtaje waislam? nchi yenu kila kitu cha kwenu furahini basi maana wengine tupo ilimradi tupo, hatuna umuhimu wowote hapa nchini kwenu
 
Baada ya sheikh Ponda kuwashawishi wajinga wachache kugomea sensa kwa kigezo cha kutokuwapo kipengele cha dini katika madodoso ya sensa, sasa macho na masikio yanaelekezwa katika zoezi la vitambulisho vya taifa. Swali la kujiuliza; je, Ponda (kama kweli ni raia wa Tz na anastahili kupewa ID) na wengine wenye msimamo mkali wa dini ya kiisilamu, watagomea kupokea vitambulisho vya taifa hadi kipepengele cha dini kijumuishwe?
Mjinga wewe na babako na mamako,mbwa koko wewe!
 
Poor minded always discuss people. Wingi wa dini fulani na uchache utakusaidia nini kwenye mlo wako wa kila siku? Au wingi ndo kwenda peponi? Na hizo takwimu kama zilitolewa zilitokana na sensa? Kwa nini na waisilamu wasitumie namna ya kuhesabiana. malumbano ya simba na yanga ni uendawazimu. na nasema huyo ponda ni kichaa kati ya vichaa wanomsapoti. anawapelaka kuzimu.
Kwa sababu wewe unakula nguruwe hutjali kama kuna waislaam wasio kula nguruwe. Sisi wengine ktk maandalizi ya chakula tunahesabu hata wale wasiokula nyama acha nguruwe na huwatayarishia mboga zao hatulazimishi mtu kula tunachokula..get the point!
 
...searching for logic..
...............
..............

0% results..

UNATUPOTEZEA MUDA.
 
Poor minded always discuss people. Wingi wa dini fulani na uchache utakusaidia nini kwenye mlo wako wa kila siku? Au wingi ndo kwenda peponi? Na hizo takwimu kama zilitolewa zilitokana na sensa? Kwa nini na waisilamu wasitumie namna ya kuhesabiana. malumbano ya simba na yanga ni uendawazimu. na nasema huyo ponda ni kichaa kati ya vichaa wanomsapoti. anawapelaka kuzimu.

Hata wakpata njia ya kujhesab wenyewe bado watatoa wrong statistics ili wathibitishe mafikirio yao
 
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.

Fikra za udini ni mbaya kuliko kula nyama ya nguruwe!
 
Poor minded always discuss people. Wingi wa dini fulani na uchache utakusaidia nini kwenye mlo wako wa kila siku? Au wingi ndo kwenda peponi? Na hizo takwimu kama zilitolewa zilitokana na sensa? Kwa nini na waisilamu wasitumie namna ya kuhesabiana. malumbano ya simba na yanga ni uendawazimu. na nasema huyo ponda ni kichaa kati ya vichaa wanomsapoti. anawapelaka kuzimu.

hivi ni wepi wendawazimu wanaodai takwimu sahihi za wanadini kupitia sensa au wanaotoa takwimu za wanadini bila kuwa na takwimu?
 
Kuangalia zaidi hoja kwa ukiristo au uislamu kwa ushabiki wa "Simba na Yanga" haina faida wala tija kwa nchi

1) Baraza la Maaskofu kutangaza wakiristo ni wengi kwa mujibu wa takwimu zao na vigezo vyao sioni tatizo, kwani vigezo vya Survey havijawekwa wazi
2) TBC katika kutangaza hilo sioni kama walikuwa sahihi, ni chombo cha serikali na chenye kuaminiwa "no research no right to speak"
3) Body ya Utalii, inawakilisha Serikali, hawakutakiwa kutumia takwimu za vichochoroni katika jambo la kitaifa kama hilo. "Source ya information zao ni nini"

My take: No matter what .... hasara ya sensa isiyokamilika ni kubwa kuliko faida zake.
 
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.
Huo wingi wenu wa kufikirika umewasaidia nn?
 
Kuondoa utata kwani kuna ushndani wa idadi ya watu kidini
Mkuu OPAQUE sometimes inabidi uwe Transparent,uruhusu ubongo uruhusu idea nyingine ziingie! Ponda hakugomea sensa kwasababu amependa,hoja yake kuu ilikuwa ni kuondoa utata wa kitakwimu uliochapishwa na vyanzo mbalimbali kalingana na dini za watanzania.Sasa vitambulisho vya taifa vinahusikaje na ile hoja yake ya kwanza aliyoisimamia?
 
Kuondoa utata kwani kuna ushndani wa idadi ya watu kidini?
Mkuu OPAQUE sometimes inabidi uwe Transparent,uruhusu ubongo uruhusu idea nyingine ziingie! Ponda hakugomea sensa kwasababu amependa,hoja yake kuu ilikuwa ni kuondoa utata wa kitakwimu uliochapishwa na vyanzo mbalimbali kalingana na dini za watanzania.Sasa vitambulisho vya taifa vinahusikaje na ile hoja yake ya kwanza aliyoisimamia?
 
Mimi naamini watu wenye mawazo na fikra za kuona mbali na wakti wote kuondokana na ile tarbia ya kuhisi jambo bali wanataka reality kila wakti kama Ponda kama watapatikana arobaini tu basi wa Tanganyika mtavuka huo umasikini mlionao. Kumbukeni waTz sio masikini wa mali bali wengi wenu ni masikini wa Akili. Nia ya Ponda ni kuweka kipengele cha DINI katika dodosp lenu ili. 1. Kujua idadi ya waumini wa kila dini iliyopo Tanzania. 2. Kujua idadi ya dini walizonazo wananchi wa Tz. Kwani mambo hayo kila siku yanabandikwa kwenye vivutio vyenu vyote vya watalii na hata wawekezaji kuja nchini kwenu. Labda mjiulize katika dodoso lenu kuna hata idadi ya mifugo na suala la ilmu ilhali kuna wanataka kujua wanaojua kusoma na kuandika kimombo na kiswahili. Je mambo kama haya yana msingi gani ukilinganisha na kujua idadiya dini na waumini wake? Sensa ni zoezi la kitaifa, si la mtu binafsi au kundi flani la watu. Suala la kutuambia nia ya Shekh Ponda kwenye suala la sensa ni la kibinafsi zaidi. Hivi kujua idadi ya waumini na idadi ya dini zitatusaidia nini kwenye maendeleo ya Tanzania? Hivi katika vigezo vya kutafiti maendeleo ya nchi, kigezo cha dini huwa kipo? Tatizo la Shekh Ponda halikuanza leo, mnakumbuka ya mwembechai? Si alikuwa PONDA huyuhuyu? Tuwe makini, aletayo PONDA hayana tofauti na BOKOHARAM ya NIGERIA. Ilianza kama vuguvugu la utetezi wa waislamu, kumbe ajenda yao kuu ni ugaidi. Najua issue hapa si kuwepo kwa kipengere cha dini, tusiwe mazuzu jamaa. Shekh ponda na washilika wake wanaamini kuwa, ikifanyika sensa ya udini na wao kuonekana wengi, basi madai yao ya OIC, MAHAKAMA YA KADHI, SHRIA LAW yatafanikiwa. Kimsingi ni agenda za kibaguzi ndo zimewatala
 


basi weye ni mpumbavu

ponda, wewe, na wengine wote wenye akili za kipumbavu na ujinga woooote shenz type

ati unaleta ushabiki ili tu u-prov something

hhuhitaji sensa kujua una waumini wangapi
 
Back
Top Bottom