Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,113
- 10,820
Kwani nani aliwafuata kanisani kwenu na takwimu zenu za uongo.Kuanzia sasa Mkome kutangaza kwenye Tv ya taifa na ofisi ya waziri mkuu.Baada ya sensa tunakuja kwenye MOU na NECTA sio ID.maskini waislamu,kwani mkiwa wengi mnataka mfanyeje,mlivyochoka hata kujihesabu hamuwezi hadi serikali iwasaidie,mnackiliza huyo ponda uwezo wake wa kufikiri ukoje,achaneni na mambo ya ajabu cyo lazima serikali iwahesabu,ndo matatizo ya kutumia akili ya uji na ubwabwa.Tangazeni mko asilimia 90 na hamna mkristu atawafuatilia,kuna tofauti kubwa sana kati Ponda na Paulo so acheni kulialia
Huyu Ponda sasa tunataka tumpeleke bungeni atuwakilishe kupambana na ujinga wa Mbowe,unafiki wa Zitto na udini wa Musigwa.