Kipanya wewe korosho tena?

Kipanya wewe korosho tena?

Nimeamini maneno yako mkuu tumezoea kupelekeshwa
"Tutabangua hata kwa meno. Tutakula wenyewe" Watu mkashangilia, mkapiga yowe za shwangwe na kuandamana kupongeza. Kueni basi hizo korosha. Waleteni JKT wabangue hata kwa meno

Sasa ooh, wafanya biashara wanaruhusiwa kununua kiwango chochote. Mkiambiwa huyu mtu anakurupuka mnabisha - tuko kwenye right track.

Tatizo Watanzania tulishazoewa kuwa tunalishwa matango pori na kuyameza bila kufikiri

In God we Trust
 
Tatizo Baba J na washauri wake wanatumia sana nguvu kuliko kutumia akili..

Ona walichofanya kwa korosho walienda kuzihifadhi sehemu zenye unyevuunyevu hadi zimeoza...

Sasa zimewadodea wanazirudisha kwa wakulima.

Hakika nawaambieni kilio na machozi ya wakulima hakitomuacha mzima baba J..
 
Zinaotea kwenye magunia huku wenye korosho zao wanataka waandame kuunga mkono hilo!
 
Back
Top Bottom