"Tutabangua hata kwa meno. Tutakula wenyewe" Watu mkashangilia, mkapiga yowe za shwangwe na kuandamana kupongeza. Kueni basi hizo korosha. Waleteni JKT wabangue hata kwa meno
Sasa ooh, wafanya biashara wanaruhusiwa kununua kiwango chochote. Mkiambiwa huyu mtu anakurupuka mnabisha - tuko kwenye right track.
Tatizo Watanzania tulishazoewa kuwa tunalishwa matango pori na kuyameza bila kufikiri
Milopoko jazzMikurupuko fc
In God we Trust
Ndio serikali ya wanyonge waooo wasinuneee wafurahii kabisaSasa hivi badala ya kukenua wamenuna
In God we Trust
Na mabango yao kabisaWaandamane tena kuipongeza serikali!



Kwani wakulima walisema wanashida na mbegu au kuuza mazao yao?
serikali imeziweka zikaharibika, inarudisha kwa wakulima eti hazina viwango wakati wameziharibu wao!Msanii wa katuni maarufu kama Kipanya amechora mchoro huu naomba tuujadiliView attachment 1028376
In God we Trust
hivi zile koro show ziliwekwa majina kutambua ni za nani????Msanii wa katuni maarufu kama Kipanya amechora mchoro huu naomba tuujadiliView attachment 1028376
In God we Trust
mi ntakamatwa nliwauzia mbovu sasa zisipoota nimekamatwa mniombee wakuu
In God we Trust