Kipanya wewe korosho tena?

Kipanya wewe korosho tena?

suala la korosho ni suala linaloonesha uwezo mdogo wa kufikiri wa wabunge wa ccm.na serikali yao ya magufuli pamoja na kuaanika ukilaza wao.

ccm ni janga la nchi wakulima wa kusini ntashangaa kama watachagua lichama hili li screper.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hapo mimi naona korosho haziuziki, bado zipo kwenye magunia na kwenye maghala mpaka zinaanza kuota zenyewe. Pia kwa biolojia yangu ya o-level hizo korosho hazijawa roasted. Au wakulima watalima kidogo (ila mikorosho hudumu sio kama maharage) au kuhudumia mikorosho yao kwa shida kwani korosho hazijapata mnunuzi pamoja na siri kali kusema inazinunua. Pia yawezekana siri kali haizinunui na kubaki ghalani kwa mkulima mpaka zinaanza kuota, na yawezekana zikifikia stage ya kuota ndio mwisho wa biashara hapo kwani mikorosho hudumu, sio kama mahindi.
 
FB_IMG_1550826163040.jpg
FB_IMG_1550826163040.jpg
 
Back
Top Bottom