"Tutabangua hata kwa meno. Tutakula wenyewe" Watu mkashangilia, mkapiga yowe za shwangwe na kuandamana kupongeza. Kueni basi hizo korosha. Waleteni JKT wabangue hata kwa meno
Sasa ooh, wafanya biashara wanaruhusiwa kununua kiwango chochote. Mkiambiwa huyu mtu anakurupuka mnabisha - tuko kwenye right track.
Tatizo Watanzania tulishazoewa kuwa tunalishwa matango pori na kuyameza bila kufikiri
Wajinga ndio waliwao na mmeliwa!
Yani katika mambo ambayo govt imefail ni kwenye korosho yani wapepata sifuri kabisa duuuh!
cc GuDume unaitwa huku uandamane broWaandamane tena kuipongeza serikali!
Hapo chahahivi zile koro show ziliwekwa majina kutambua ni za nani????
We hujielewi....Kwa hiyo zikiota UTAZIBANGUA?
Hapana hakuna majina... Ni kwamba kama Khantwe alileta kilo 10, basi utatakiwa urudishiwe kilo 10... Hizi 10 utapewa za yeytote yule au utachingiwa na zaidi ya mmoja kuja kwako... Hakukuwa na alama kwamba hizi ni za yule na hizi ni za huyuhivi zile koro show ziliwekwa majina kutambua ni za nani????
Nadhani hukumuelewa huyu mkuu. Anamaanisha wanaosema hazina viwango ni waongo maana zingekuwa mbovu kama wanavyodai, basi zisingeotaWe hujielewi....Kwa hiyo zikiota UTAZIBANGUA?