Kipanya wewe korosho tena?

Hapana, hebu angalia zaidi utaona. Angalia upande wa kulia, mbegu imechipua, imekua mpaka imetoa Bibo lenye korosho.
Maana yake korosho zitaotea ndani ya magunia mpaka zitatoa korosho mpya zikiwa ndani ya magunia.
Huyo ndio Kipanya.
Naziona tayari zimesha anza kchipua zikiwa bado kwenye gunia

In God we Trust

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, hebu angalia zaidi utaona. Angalia upande wa kulia, mbegu imechipua, imekua mpaka imetoa Bibo lenye korosho.
Maana yake korosho zitaotea ndani ya magunia mpaka zitatoa korosho mpya zikiwa ndani ya magunia.
Huyo ndio Kipanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatisha sana mkubwa

In God we Trust
 
CCM oyeee
Wooooyeeeeeeeeeeeeeee
FB_IMG_1550766064153.jpeg


In God we Trust
 
kwa akili ya kawaida kabisa unawarudishia wakulima korosho ili iwaje? watu wanasubiri pesa wewe unarudisha korosho mbovu why? hii ni serikali au? mlichukua korosho zao kwa matambo sana sasa mmekaa nazo halafu mnawarudishia mbovu, wapeni hela hata kama mbovu mtajua wenyewe si mlijifanya mnajua biashara? sio fresh kabisa dingi
 
Jiwe kachanganyikiwa
kwa akili ya kawaida kabisa unawarudishia wakulima korosho ili iwaje? watu wanasubiri pesa wewe unarudisha korosho mbovu why? hii ni serikali au? mlichukua korosho zao kwa matambo sana sasa mmekaa nazo halafu mnawarudishia mbovu, wapeni hela hata kama mbovu mtajua wenyewe si mlijifanya mnajua biashara? sio fresh kabisa dingi

In God we Trust
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom