The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,451
- 10,246
Ahahah!! Kiswahili c mchezo hatakama ni chetuKiswahili kigumu sana.
Ahahah!! Kiswahili c mchezo hatakama ni chetuKiswahili kigumu sana.
Hahaha hatari sanaHapana hakuna majina... Ni kwamba kama Khantwe alileta kilo 10, basi utatakiwa urudishiwe kilo 10... Hizi 10 utapewa za yeytote yule au utachingiwa na zaidi ya mmoja kuja kwako... Hakukuwa na alama kwamba hizi ni za yule na hizi ni za huyu
Naziona tayari zimesha anza kchipua zikiwa bado kwenye gunia
In God we Trust
Unatisha sana mkubwaHapana, hebu angalia zaidi utaona. Angalia upande wa kulia, mbegu imechipua, imekua mpaka imetoa Bibo lenye korosho.
Maana yake korosho zitaotea ndani ya magunia mpaka zitatoa korosho mpya zikiwa ndani ya magunia.
Huyo ndio Kipanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa akili ya kawaida kabisa unawarudishia wakulima korosho ili iwaje? watu wanasubiri pesa wewe unarudisha korosho mbovu why? hii ni serikali au? mlichukua korosho zao kwa matambo sana sasa mmekaa nazo halafu mnawarudishia mbovu, wapeni hela hata kama mbovu mtajua wenyewe si mlijifanya mnajua biashara? sio fresh kabisa dingi