Nadhani itakuwa ni damu ya Dr bashiru AllyHilo limkasi mbona linachuruzika tomato sosi?
Bado tupo naye yule yule bingwa wa vikatuni.
Leo hii naona kaibuka na yanayoendelea pale kwa kina Matonya lkn sijui kwa vifaa hivi alivyo amua kuingia navyo sijui ana maanisha nini.
View attachment 1768440
Nadhani itakuwa ni damu ya Dr bashiru Ally
Duh! Hatari sanaila bora huyu anachorwa vizuri,nikikumbuka lile komwe la mwendazake...ahahaha
Hii ni ya mwezi wa tatu sidhan kama inauhusiano wowote na tukio la dodoma.Bado tupo naye yule yule bingwa wa vikatuni.
Leo hii naona kaibuka na yanayoendelea pale kwa kina Matonya lkn sijui kwa vifaa hivi alivyo amua kuingia navyo sijui ana maanisha nini.
View attachment 1768440
Mimi tafsiri yangu ni kwanba anaondoa silaha zilizokuwa zikiwaumiza wengine na uchafu.Bado tupo naye yule yule bingwa wa vikatuni.
Leo hii naona kaibuka na yanayoendelea pale kwa kina Matonya lkn sijui kwa vifaa hivi alivyo amua kuingia navyo sijui ana maanisha nini.
View attachment 1768440
Jamaa mwezi mtukufu huu! Uwe unasema kweliHuyu mama hadi kwenye katuni anapendeza