Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Bi Mkubwa aliyejeruhiwa akiwa uwanja wa nyumbani. Hahahaha kimeumana
Kabeba silaha zote za kufaanyia "usafi"Bi. Mkubwa mpambanaji
Wacha Wafu Wazike Wafu wenzeoHivi jamani haiwezekani kufanya reshuffle ili Dr wa Zenj aje huku mainland kugumu, halafu Bi Mkubwa na hotuba zake tamuuuuuuuuuuuuu ahamie kuleeee hadi baadaye tunaweza kuona kama tunaweza kutaka kuamua kufanya maamuzi ya kuamua kumwitia nafasi ikipatikana ya kacheo fulani!??? 🙂 🙂 🙂
Mataga yako wapiii
mpaka ile ya kudili na 'vampire'!Kabeba silaha zote za kufaanyia "usafi"
Yuko Kamili kuwaletea Watz maendeleo makubwa.
Ngoja tumpigie na mapambio.Kabeba silaha zote za kufaanyia "usafi"
Akili ni yangu so uelewa lzm uwe wangu, brain yangu ndio rais wangu.Kwa uelewa wako
Bado tupo naye yule yule bingwa wa vikatuni.
Leo hii naona kaibuka na yanayoendelea pale kwa kina Matonya lakini sijui kwa vifaa hivi alivyoamua kuingia navyo sijui ana maanisha nini.
View attachment 1768440
Yanaathiri taifa zima lakiniMambo ya CCM ni vyema tuwaachie CCM wenyewe.
Bado tupo naye yule yule bingwa wa vikatuni.
Leo hii naona kaibuka na yanayoendelea pale kwa kina Matonya lakini sijui kwa vifaa hivi alivyoamua kuingia navyo sijui ana maanisha nini.
View attachment 1768440
Aiseee jamaq akashindwa kutaja jina la rais wa nchi na mteuzi wake.Kwa silaha hizi alizobeba mama , sidhani kama yule Naibu Waziri wa usafirishaji na miundombinu atapona!! Ameonesha utovu mkubwa wa nidhamu kwa kuingia bungeni amelewa na mpaka akashindwa kukumbuka Jina la RAIS aliyemteua katika wadhifa huo!!! Huu utovu wa nidhamu Rais Samia asiuvumilie hata kidogo, afuate mfano wa jinsi waziri Kitwanga alivyoondolewa kwa makosa kama hayo!!
Huyu Mwita Waitara hafai hata kutumbuliwa hadharani utampa sifa; Rais amteue mtu mwingine kuchukua nafasi yake basi, yeye atajijua mwenyewe!!
Angalia uyo mama katuni vizuriJamaa mwezi mtukufu huu! Uwe unasema kweli
Da hii komenti kiboko.Huyu mama hadi kwenye katuni anapendeza.