Kipanya na hali ilivyo ndani ya CCM

Kipanya na hali ilivyo ndani ya CCM

Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]
Mkuu, you have nailed it. Kudos.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye Dume La Mavi Ya Mbuzi, Anamuona Membe Si Lolote. Na Yule Jamaa Mwenye Dume La Kopa Anahitaji Membe Abaki Chamani Akisaidie
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]
Kipanya alishasema hauhitaj kutumia akili kubwa sana kutafsir katun zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]
Umeeleweka bosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawajui kua bwana mkubwa alificha J, Joker pamoja na karata ya ushindi.

#Bagwell

Crime: Six counts of Kidnapping, Rape and First Degree Murder.
Sentence: Incarceration for the rest of his natural life....



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]

umetisha mzee, yaan kama kingsman kweli [emoji16][emoji16]
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b][/b]
Thanks!
 
Hivi kwa nini kipanya hajapewa phd? Wanaenda kuwapa watu wasiojulikana.
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]
Hakika wewe ni miongoni mwa waliosinzia na karata zao maana umechambua kama ulikuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]
We jamaa utakuwa KP Mwenyewe sio bure

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom