Kipanya na hali ilivyo ndani ya CCM

Kipanya na hali ilivyo ndani ya CCM

Spika wa zaman alikuwa chin ya meza anataka kuchungulia kama bwana mkubwa kaficha Joker au laa
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Unforgetable
na pia mlingano wa size za viti ni dhahiri muhojiwa yupo juu ya hao wanaumuhoji. Maana kuna wanaonekana wanajificha kabisa aidha kwa uoga ama kwa kutokuwa na sauti.
 
WE LOFA TU HUSIYEJIELEWA, NA ATA UKATIBU WA KIJIJI HAWATAKUPATIA

LOFA = ROFA
HUSIYEJIELEWA = USIYEJIELEWA.
ATA = HATA.
JIFUNZE PIA KUUNGANISHA MANENO KWA KISWAHILI.

Nenda kwanza shule kajifunze kusoma na kuandika ndio uje humu JF.
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]
Duh mkuu umetisha hata kama sio dhumuni lafanani ila nimeipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo aliyevaa miwani mbona hana karata mezani?
 
Kwanza wamekaa baharini, ambapo tafsiri yake wakicheza vibaya chombo kinazama muda wowote.

Pili, bwana mkubwa aliyeko hapo anaonekana hajashika karata yoyote, inamaana kama ni mchezo basi yeye hayumo kabisa japo ni kiongozi.

Tatu, waloshika karata wote wanaonesha wameshika magarasa, ambayo hayawezi wasaidia chochote kwenye mchezo.

Nne, waliopo kwenye mchezo inaonekana hawana ushirikiano, kuna ambao wameziacha karata zao na wamezama chini ya meza, ila kwa kuwa wamo baharini watakimbilia wapi?

Tano, kati ya watu tisa wenye karata, ni mmoja tuu ndio kafunua karata zake(mwenye kopa), lkn sura yake haionekani. Mwingine kafunua karata za mwenzake ambaye ameingia ndani ya uvungu wa meza lkn zake hajazifunua.

Sita, kuna papa wawili wanawanyemelea. Hivyo mchezo wao unaonekana hauna maana kwa sasa. Wanachotakiwa waangalie kwa sasa ni usalama zaidi kuliko huo mchezo wao usio na mbele wala nyuma.


Unforgetable[/b]
[/b]
Aisee humu ndani kuna great thinkers, au wewe ni kipanya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom