johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Masoud (KP media) anaendesha mradi wa 'Inawezekana' kule sikonge Tabora. Washiriki wa mradi wamemlalamikia RC wa Tabora kuruhusu vitendo vya ngono kwa madai kuwa wao ni watu wazima, ilhali katiba ya mradi inakataza ngono kambini.
Pia wanailaumu Halmashauri kwa kutaka kupora nguvu zao hasa zile nyumba 100 so wametishia kuuza kila kitu. Najua Kipanya unapitaga humu ufafanuzi p'se!
Chanzo: Clouds Tv (Kipindi, Inawezekana).
Pia wanailaumu Halmashauri kwa kutaka kupora nguvu zao hasa zile nyumba 100 so wametishia kuuza kila kitu. Najua Kipanya unapitaga humu ufafanuzi p'se!
Chanzo: Clouds Tv (Kipindi, Inawezekana).