THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,066
- 4,769
Nilivoelewa mimi ni kuwa
Bundi katua kwenye makaburi ambayo awali ilisemekana hayawezi kufukuliwa....lakini upepo unaonyesha haya makaburi ya zege yaweza fukuliwa wakati wowote manake bundi ameshatua hapo.
Je?? Makaburi ya zege yatafukuliwa ama bundi atafukuzwa aende zake time will tell.
Bundi katua kwenye makaburi ambayo awali ilisemekana hayawezi kufukuliwa....lakini upepo unaonyesha haya makaburi ya zege yaweza fukuliwa wakati wowote manake bundi ameshatua hapo.
Je?? Makaburi ya zege yatafukuliwa ama bundi atafukuzwa aende zake time will tell.