ZNM
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 1,219
- 1,281
Duh, kwenye profile yangu umeona "Ke"?Sijambo Dada nawe hujambo?
Duh, kwenye profile yangu umeona "Ke"?Sijambo Dada nawe hujambo?
Duh, kwenye profile yangu umeona "Ke"?
Ukungu Umetanda , Kazi ya Tai Kufukua Makuburi inaonekana kumuwia Ngumu , anaonekana kachoka na Mazingira si Rafiki kwake Tena kuendelea na Jukumu hilo.Kiukweli huwa naelewa sana kazi yake but leo nimefail kuelewa nini alikuwa anamaanisha.....
View attachment 473646
Wakati unaandika usiwe na haraka kuacha nafasi baada ya neno ni muhimu...Sijatazamaprofile ya mtu.
Nisameh kama si dadda, hiyohujabo ara nyingi husalimiana wanawake.
Duh! Acha uchochezi mkuu!Wakati unaandika usiwe na haraka kuacha nafasi baada ya neno ni muhimu...
Sijatizamaprofile = Sijatizama profile
Nisameh = Nisamehe
si = sio
dadda = Dada
hiyohujabo = Hiyo hujambo
ara = Mara

Tai hali mzoga mkuuTai kakosa mizoga ana plan yakufukua makaburi bundi katumwa kuzim over
Nampendaga hyu dadaAnangoja kufukuliwa makaburi ale mizoga.
Oooooh..... Nahisi kuna uelekeo huo but huyu Tai ni nani kwa maono yako!?
Kusoma na kufundisha wengine ndio Maendeleo - '''Bwana Waziri kasema''. She used to be so bright ila sikuhizi ana mwendo kasi bila break.Duh! Acha uchochezi mkuu!![]()
![]()
Nampendaga hyu dada
Kusoma na kufundisha wengine ndio Maendeleo - '''Bwana Waziri kasema''. She use to be so bright ila sikuhizi ana mwendo kasi bila break.