Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,939
- 8,883
Mkuu mimi hupenda sana kuwasalimu watu "hujambo?" Lakini ni MESijafahamu profile ya mtu.
Nisameh kama si dada, hiyo hujambo mara nyingi husalimiana wanawake.
Mkuu mimi hupenda sana kuwasalimu watu "hujambo?" Lakini ni MESijafahamu profile ya mtu.
Nisameh kama si dada, hiyo hujambo mara nyingi husalimiana wanawake.
Mkuu mimi hupenda sana kuwasalimu watu "hujambo?" Lakini ni ME
Kiukweli huwa naelewa sana kazi yake but leo nimefail kuelewa nini alikuwa anamaanisha.....
View attachment 473646[/QUOTE,
Mkuu FARU JEURI , hapo pana tai, na tai chakula yake ni mizoga. Sasa ameenda makaburini apate mizoga ale. Tatizo mizoga yote imezikwa na kushindiliwa cement. Ngoma ni kwamba, je akifukua hayo makaburi atapata mzoga ulio salama? Na je , aanze na kaburi lipi? Kumbuka kazi ya kufukua makaburi ni ngumu...mengine yana nguvu za giza, mengine yamehamiwa na nyoka, na mengine hayafukuliki kirahisi bila kukudondosha na wewe ndani ya hilo kaburi.
Sasa za mbayuwayu changanya na zako.....chukua Wazee wa Kukurupuka pale Jengo kuu Jeupe, wanaojaribu kufukua makaburi ya zamani huko DSM. Je wataweza, na kama wataweza watabaki salama??? .....ndiyo fasihi ya Kipanya hapo juu
Kiukweli mie sijaelewa hiyo katuni![]()
Ipe neno Picha hii unganisha na matukio yanayoendelea sasa hapa nchini
Unganisha na yanayoendelea kwny siasa za nchi hiiKiukweli mie sijaelewa hiyo katuni
Hahahahah mkuu salary slip unganisha dots apoMhhh!Hiki ni kipoma cha IQ
Aiseeee tusaidie wenye akili ndogo maana pia sijaelewa chochoteUnganisha na yanayoendelea kwny siasa za nchi hii
Napata picha kuwa kila kitu kinapukutika kutona na ukame!Kiukweli mie sijaelewa hiyo katuni
AF ni kama kinasubiri mizoga HVIlo kama kanisa, nanaona kindege juu ya msalaba....

Icheki tena na tena mkuuSijaelewa vizuri.......au nikwamba akimaliza hapo alipo anarukia huko kwingine

AF ni kama kinasubiri mizoga HV![]()
![]()
![]()
nahisi kama anataka kuhusianisha matukio yanayoendelea na kipindi cha kwaresma kinachoanza. Watu wamrudie mungu wao. Au nimekosea