Yaani CCM haijanyooka katika mambo yake, imepinda pinda kama huo mchoro unavoonekana....Duh sijaelewa
CCM sarakasi nyingi zisizo na maana, wangenyoosha tuu.Duh sijaelewa
CCM wanajenga barabara za juu (miundombinu/vitu) jangwani ambapo hakuna watu na hata barabara za chini hakuna.
Ni kweli ni ngumu kumsoma, mimi nimeona tumezunguuka ili kwenda kupiga kura ya ‘ndiyo’ Dodoma alafu tunazunguuka kufanya kampeni wakati mshindi anajulikana.CCM wanajenga barabara za juu (miunombinu/vitu) jangwani ambapo hakuna watu na hata barabara za chini hakuna.
Au
Mgombea mmoja ila kona nyiiiiingi
Ngumu sana kumsoma huyu Mwamba
Kulikua na sababu gani ya kuzunguka wakati wangeweza kunyoosha
Yes. Unatoa watu mikoa yote kuwakusanya Dodoma kupiga kura ya ndio 100%. Huu ni ujima.Ni kweli ni ngumu kumsoma, mimi nimeona tumezunguuka ili kwenda kupiga kura ya ‘ndiyo’ Dodoma alafu tunazunguuka kufanya kampeni wakati mshindi anajulikana.
Ujinga wa hali ya juu.......kimsingi ni rushwa tu alikua anawapa wajumbe hakuna kingine.....Yes. Unatoa watu mikoa yote kuwakusanya Dodoma kupiga kura ya ndio 100%. Huu ni ujima.
Zaidi ya kura 200 za Mwinyi ni za wajumbe wa Bara. Wale 19 (Nahonda) na za yule mwingine ndio za Wazanzibar....Zanzibar ni nchi wangeachiwa wazanzibari wachague mgombea wao hukohuko zenji mbwembwe za nn?
Hizo barabara zimegusana, hivyo neither can go to the other side from each road!Ni kweli ni ngumu kumsoma, mimi nimeona tumezunguuka ili kwenda kupiga kura ya ‘ndiyo’ Dodoma alafu tunazunguuka kufanya kampeni wakati mshindi anajulikana.
Kwani mkuu hiyo process ya kumchagua mgombea si ni lazima, asa kwanini mlaumu!?Yes. Unatoa watu mikoa yote kuwakusanya Dodoma kupiga kura ya ndio 100%. Huu ni ujima.