Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mkimbiaji mmoja alijitetea eti, wakenya walikuwa na haki ya kushinda kwa sababu walikuwa wengi.
Hv hawa wakimbiaji, hawajaweza bado kuipata siri ya wakenya? Inashangaza!
Mie nilitegemea vijana waende huko wakenya wakajiunge na wenzao wakati wa mazoezi wanaweza pata chochote
Mkimbiaji mmoja alijitetea eti, wakenya walikuwa na haki ya kushinda kwa sababu walikuwa wengi.
Kwa kushinda watadai mlima ni wao..........
Kuonyesha seriousness jamaa anaweka stop watch kabisa.....wabongo wanaanza vruuuuuuuu bila mpangilio