Mwizukulu jilala
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 1,095
- 933
Mkuu umebanwa mkojo??Kipanya the Great.
Serikali ya CCM(anayesukuma mwenye rangi ya kijani) inatumia nguvu(vyombo vya dola) kunyamazisha wapinzani badala ya kutumia akili(hoja)
Mkuu umebanwa mkojo??Kipanya the Great.
Serikali ya CCM(anayesukuma mwenye rangi ya kijani) inatumia nguvu(vyombo vya dola) kunyamazisha wapinzani badala ya kutumia akili(hoja)
wewe umemuelewaje mkuu?Your not there ! Samaki kwake ni baharini, na upinzani hauwezi kuwa mkubwa (samaki mkubwa) kupita chama tawala
Bado sijapata mantiki yake ! Samaki anakataaje kuingia baharini mpaka asukumwe, wakati maisha yake ni bahari ?!....wakati huo huo hekima inatumikaje pale ?wewe umemuelewaje mkuu?
hiyo rangi ya nguo alovaa msukumaji ndo inainyesha ni sare ya kwaya ganiJamaa naona anamsukuma nyangumi mkubwa aaliyefananishwa na TZ hapo ambaye anaonekana kumzidi nguvu na akiteleza kidogo basi anamuangukia na kumuua, sijui ni nani huyu?
Mwinine anasema wampishe yeye atumie akili
View attachment 594162
Samaki unamzamishaje baharini !?Wameona njia mbadala ya kuumaliza upinzani bora wauzamishe bahari ili uishe kabisa ndio maana wanatumia nguvu bila akili.
Endapo wakitumia akili, ni rahisi kuudhoofisha upinzani.
Akili akili akiliSamaki unamzamishaje baharini !?
....samaki bahari ndo mwake, hazami bali anaogelea. sasa anazama vipi !? Akili unayo kweli au unaandika tu ?Akili akili akili
Anayemzamisha ndio hana Akili.....samaki bahari ndo mwake, hazami bali anaogelea. sasa anazama vipi !? Akili unayo kweli au unaandika tu ?
Samaki ndo hana akili, ataishije nchi kavu na yeye si chura !?Anayemzamisha ndio hana Akili.
Nadhani anza kutafakari kuanzia pale.
Bado !Samaki ametoka baharini anatakiwa kurudi baharini ila huyo mtu mwenye kijani ni bwege hajui mbinu... hatakiwi kumrudisha kiurefu bali kiupande upande maana samaki mwenyew atabiringika hadi baharini... Samaki ni Tanzania, mwenye kijani CCM hao wa pemben ni upinzani yaan wenye akili kama mimi
Samaki kwake ni kwenye maji inavyooneka ni kama ifuatavyo.Bado sijapata mantiki yake ! Samaki anakataaje kuingia baharini mpaka asukumwe, wakati maisha yake ni bahari ?!....wakati huo huo hekima inatumikaje pale ?
Alimtoa samaki ili iweje !? ....kwani yeye alikuwa hajui samaki anaishi kwenye maji ? Na kwanini iwe shida/asumbue kumrudisha baharini, wakati maisha yake yako huko ? Bado hakuna logic kwenye maelezo yakoSamaki kwake ni kwenye maji inavyooneka ni kama ifuatavyo.
Samaki ni Tz
Anamsukuma ni msukuma
Huyo msukuma samaki ndo alimtoa samaki nchi kavu kwa kukurupuka na kukosa hekima
Sasa baada ya mambo kwenda kombo
Ndo analazimika kutumia nguvu kumrudisha kwenye maji
Kinachoonekana hapo tayari samaki (TZ) ameshakua mzito kurudi mahala pake bila busara hekima na akili
Msukuma,,,,samaki anaelekea kushindwa
Samaki ni kama mfano mkuuAlimtoa samaki ili iweje !? ....kwani yeye alikuwa hajui samaki anaishi kwenye maji ? Na kwanini iwe shida/asumbue kumrudisha baharini, wakati maisha yake yako huko ? Bado hakuna logic kwenye maelezo yako
Naelewa samaki ni mfano na ndio maana nikasema bado logic hakuna. Huwezi kumtoa samaki baharini halafu uangaike kumrudisha. Ulimtoa kwa sababu gani na una mrudisha kwa sababu gani !? Pengine tafsiri si ya kisiasa wala kiuchumi. Hii haihitaji kulazimisha bali kujenga hoja ya kimantiki inayotoa tafsiri halisi ya picha.Samaki ni kama mfano mkuu
Lkn uhalisia wa samaki ni uchumi na baadhi ya mambo mbalimbali yanayohusu mtz kimaendeleo ulinzi na usalama,
Kitendo cha yeye kufanya maamuzi ambayo mengi yameathiri uchumi wa tz ni sawa na kumtoa samaki kwenye maji,,,
Kiuhalisia utakua umeelewa
Ana maanisha wange subiri maji yarudi ufukweni jioni samaki angeingia mwenyewe tu baharini....samaki bahari ndo mwake, hazami bali anaogelea. sasa anazama vipi !? Akili unayo kweli au unaandika tu ?
Sawa mkuu lkn kilichonifanya niamini hivyo ni kwambaNaelewa samaki ni mfano na ndio maana nikasema bado logic hakuna. Huwezi kumtoa samaki baharini halafu uangaike kumrudisha. Ulimtoa kwa sababu gani na una mrudisha kwa sababu gani !? Pengine tafsiri si ya kisiasa wala kiuchumi. Hii haihitaji kulazimisha bali kujenga hoja ya kimantiki inayotoa tafsiri halisi ya picha.