EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
- Thread starter
- #81
Haka kapicha kana-trend saana leo sijui kwanini?
Ukimwona kobe ametulia jua anatunga sheria. Therefore you just wait and see soon!!Aliyemuelewa anig'amulie mie ngumbaru.
Pia Kitenge nae hizi kauli tunajua zipo kwenye maandiko sa yeye kwanini hakuzitoa siku zote hadi asubiri leo,
Mambo ya wanaharakati mitandaoni sina haja nayo
Mwenye uelewa tafadhali
View attachment 1725371
View attachment 1725474View attachment 1725475
Utopolo[emoji848]View attachment 1725937
Huyu naye! Amekimbia madeni analelewa na wanaume wakizungu na familia yake yote. Very shame indeed!Sijajua hii pia ina.maana gani aiseeView attachment 1725936View attachment 1725935
Kobe akitulia anaweza kuficha kichwa chake tu ndani ya gamba na kukaa chini lakini hawezi kuficha na miguu yake ndani.Ukimwona kobe ametulia jua anatunga sheria. Therefore you just wait and see soon!!