Kipanya anamaanisha nini hapa

Kipanya anamaanisha nini hapa

Kobe akikutana na adui huingia ndani na kujificha na ugumu wa gamba lake huwezi kumtoa mpaka yeye atake mwenyewe.


Sasa hio picha ina maana wanachi wanataka kujua rais yuko wapi? Lakini kutokana na uzio mgumu wa serikali uliojijenga huwezi kupata kujua hali ya Raisi hata ukitumia nguvu huwezi ingia na ukichungulia bado hutoona kwa sababu ya giza.

Huo ni mfano wa jinsi wanachi wanapata tabu kujua ukweli wa Raisi kuhusu hali yake hata kama serikali haitaki kutoa taarifa eiza kwa uzuri au ubaya.
 
Ntajaribu kuwafumbua macho ila sio lazima mniamini!

Hii saga ya hali ya mh Rais wengi mnaitazama kwa namna walioitengeneza wanataka muitazame!

Iko hiv. Rais yuko sawa na anaendelea na shughuli zake kama kawaida!

Kinachoendela ni mpango wa ile topic ya "kuwa rais wa milele"

Strategy ni kufanya ya fuatayo

[emoji117]Kutengeneza mazingira aonekane yeye ni muhimu na bila yeye tanzania haitaweza kuendelea, hii ni kwa watanzania na nchi za nje

[emoji117]Lazima awe maarufu na kutokana na anayo ya fanya basi maadui dhidi yake nataifa kwa ujumla niwengi

[emoji117]lazima kuzima taarifa zinazo chafua uongozi wake kama saga la mahindi lililokuwa hapo nyuma

[emoji117]Lazima aonekane ni strong na akili nyingi na hakuna kitu kina mshinda

Sasa nini kinachoendelea!

[emoji117]Dhibiti vyombo vya habari, watoe taarifa positive tu kuhusu wewe na serikali yako na viongozi wako kusifia jina lako tu

[emoji117]Tengenza makundi mawili yakumfanya awe maarufu, kundi la kusifu na lile la kupondea,

[emoji117]Potea machoni kwa watu, na kupitia yale makundi uliotengeza penyeza taarifa kuhusu kupotea kwako yaanzishe mjadala kuhus wewe, ikiwezekna isemekane umekufa, then jitokeze waumbue uonekane ni strong na umaarufu wako utazidi kuwa mkubwa ndani na nje ya nchi!

[emoji117]Ikifika miaka minne ya utawala wa awamu yako ya pili , bunge litumie makundi ulotengeneza kama rejea ya kuhalalisha kuongezewa miaka mingine, watanzania watakuwa wanakuimba jina lako, hakutakuwa na kikwazo unakuwa rais wa milele!!
Mh! Inawezekana.........
 
Kafa lakini gamba bado lipo
platinum member vaa barakoa
FB_IMG_1615098802753.jpg
 
Ntajaribu kuwafumbua macho ila sio lazima mniamini!

Hii saga ya hali ya mh Rais wengi mnaitazama kwa namna walioitengeneza wanataka muitazame!

Iko hiv. Rais yuko sawa na anaendelea na shughuli zake kama kawaida!

Kinachoendela ni mpango wa ile topic ya "kuwa rais wa milele"

Strategy ni kufanya ya fuatayo

[emoji117]Kutengeneza mazingira aonekane yeye ni muhimu na bila yeye tanzania haitaweza kuendelea, hii ni kwa watanzania na nchi za nje

[emoji117]Lazima awe maarufu na kutokana na anayo ya fanya basi maadui dhidi yake nataifa kwa ujumla niwengi

[emoji117]lazima kuzima taarifa zinazo chafua uongozi wake kama saga la mahindi lililokuwa hapo nyuma

[emoji117]Lazima aonekane ni strong na akili nyingi na hakuna kitu kina mshinda

Sasa nini kinachoendelea!

[emoji117]Dhibiti vyombo vya habari, watoe taarifa positive tu kuhusu wewe na serikali yako na viongozi wako kusifia jina lako tu

[emoji117]Tengenza makundi mawili yakumfanya awe maarufu, kundi la kusifu na lile la kupondea,

[emoji117]Potea machoni kwa watu, na kupitia yale makundi uliotengeza penyeza taarifa kuhusu kupotea kwako yaanzishe mjadala kuhus wewe, ikiwezekna isemekane umekufa, then jitokeze waumbue uonekane ni strong na umaarufu wako utazidi kuwa mkubwa ndani na nje ya nchi!

[emoji117]Ikifika miaka minne ya utawala wa awamu yako ya pili , bunge litumie makundi ulotengeneza kama rejea ya kuhalalisha kuongezewa miaka mingine, watanzania watakuwa wanakuimba jina lako, hakutakuwa na kikwazo unakuwa rais wa milele!!
Mkuu umewaza.mbaali sana unataka kusema anataka kujifanya immortal???[emoji848][emoji848]
 
Kobe akikutana na adui huingia ndani na kujificha na ugumu wa gamba lake huwezi kumtoa mpaka yeye atake mwenyewe.


Sasa hio picha ina maana wanachi wanataka kujua rais yuko wapi? Lakini kutokana na uzio mgumu wa serikali uliojijenga huwezi kupata kujua hali ya Raisi hata ukitumia nguvu huwezi ingia na ukichungulia bado hutoona kwa sababu ya giza.

Huo ni mfano wa jinsi wanachi wanapata tabu kujua ukweli wa Raisi kuhusu hali yake hata kama serikali haitaki kutoa taarifa eiza kwa uzuri au ubaya.
Zamani nikiwa singida nlijua kuingiza kidole kwenye sehemu ya nyuma ya koba makalioni lile gamba huwa linafunguka na kujifunga.


Kilichonitokea nusu nipoteze kidole yaani ni kama nimebanwa na plaizi
 
Back
Top Bottom