Kipanya aibuka na Mama Samia

Kipanya aibuka na Mama Samia

Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Eeeeeeh!
Na watakaokua hai watasema RIP Mmawia
🤣🤣🤣🤣🤣

Ila nikuombe Mungu akubariki miaka mingi yenye furaha na mafanikio tele my friend
 
Kuna uchafu mwingi chini ya zulia, mama alitakiwa alikung’ute kabisa lakini anasafisha kwa woga.
 
unajuwa sisi wanaume wengi kwa asilimia kubwa sio wasafi, ndio maana unapo oa mke lazima kila kitu kimepangwa katika hari nzuri, nadhani umeelewa au niongeze sauti
 
Yule msanii nguli leo tena kaibuka na juhudi za mama yetu rais Samia.

Binafsi sijaelewa nini amelenga huyu msanii wetu.

Kwa anaye elewa hii habari picha tafadhali atuelimishe.View attachment 1743780

Hahaa si umeona zulia jekundu hilo? Mama kashika fagio anafagia mauchafu yaliyojificha chini ya carpet.
 
Chini ya kapeti kulibakia mifupa ambayo mkuu aliibakisha
 
Mama anaonekana kama kaanza kazi siku ya kuapishwa lakinj huyu mama yupo na JPM miaka 6 akiwa msaidizi wake number 1 kama ni uchafu ameshiriki kwa 100%kuchafua sema anachofanya ni kuwaadaa watanzania na kuweka watu wake kwa mgongo wa kusafisha haya mmewekewa kada wa CCM TPDC ambae hajawahi kufanya sehemu yeyote zaidi ya CCM yajayo yanafurahisha .
Aliyekuambia Jiwe alikuwa anashaurika nani, unajitoa ufahamu mapema kiasi hichi, acha kujifanya unajisahulisha kuhusu Jiwe( One man show)

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Aliyekuambia Jiwe alikuwa anashaurika nani, unajitoa ufahamu mapema kiasi hichi, acha kujifanya unajisahulisha kuhusu Jiwe( One man show)

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Acha utoto na kusikia habari za mitandaoni ww nani asiyeshaurika ? hizi ni propaganda tu , nani anaweza toa ushahidi kuwa JPM alikuwa hashauriki? Watanzania kila mwenye smart phone na bando lake la chuo anajifanya mchambuzi wa kisiasa na kiuchumi hiili ndo tatizo lenu haya mama yako ameshaanza kutengua mtu aliyemchagua yeye chini ya masaa 24 kweli JPM alikuwa na haki ya kukataa kushauriwa na mtu anayeweza kuteua kada wa UVCCM ambae hajawahi kufanya kazi sehemu yeyote zaidi ya Lumumba kuwa DG wa TPDC hahaha
 
Acha utoto na kusikia habari za mitandaoni ww nani asiyeshaurika ? hizi ni propaganda tu , nani anaweza toa ushahidi kuwa JPM alikuwa hashauriki? Watanzania kila mwenye smart phone na bando lake la chuo anajifanya mchambuzi wa kisiasa na kiuchumi hiili ndo tatizo lenu haya mama yako ameshaanza kutengua mtu aliyemchagua yeye chini ya masaa 24 kweli JPM alikuwa na haki ya kukataa kushauriwa na mtu anayeweza kuteua kada wa UVCCM ambae hajawahi kufanya kazi sehemu yeyote zaidi ya Lumumba kuwa DG wa TPDC hahaha
Hakuwa anashaurika
 
Back
Top Bottom