mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Huyu rais wa chadema anafanya vizuri sana..
Zama za JK aliitwa rais dhaifu huku waliomuita dhaifu wakitapanya mali za umma
JPM amefanya kazi kubwa sana kuundoa ule udhaifu, kujenga miundombinu na mifumo ya serkali, kutengeneza rasilimali watu akiwemo Rais wetu SSH pamoja na kuheshimisha serikali, chama CCM na nchi
SSH amewakamata wanachadema sasa wanahaha kurudi kundini
CCM iko imara imara sana..... haifi leo wala kesho