kama kawaida yakeAnaondoa masalia ya jiwe
Kiboko ya MATAGA kama wewe
YeahAnasafisha ghala?
kipanya mjanja saana sasa hapo katuacha njia panda yaani haijulikani huu uchafu unafichwa au ndo unatolewaYule msanii nguri leo tena kaibuka na juhudi za mama yetu rais Samia.
Binafsi sijaelewa nini amelenga huyu msanii wetu.
Kwa anaye elewa hii habari picha tafadhali atuelimishe.View attachment 1743780
Huyu rais wa chadema anafanya vizuri sana..Anawafurusha MATAGA kama nyinyi
Alichafua nyumba.Mlengwa Mkuu ni Jiwe.
hapana ukiangalia unaona alipoinua pia bado kuna uchafu ndo shida hapoNadhani ndiyo anautoa huo uchafu akimaanisha mataga woote wasiyo itakia mema nchi yetu
Wee jamaa fala sana, yaanibunaamini mama ni chadema na anafanya haya kama mchadema..fala sana weweHayo ndiyo mmebakia nayo tu kama Hadija Kopa wa TOT
Hata kwa akili za primary huwezi kusema anaficha uchafukipanya mjanja saana sasa hapo katuacha njia panda yaani haijulikani huu uchafu unafichwa au ndo unatolewa