Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

Cheki blood pressure kwanza pia kwani ndio chanzo kikubwa cha kipanda uso.dawa yake ni vasograin na inapatikana kwenye pharmacy
 
Pole sana. Ungeweka ile jukwaa la madakitari wangekusaidia.
cc. @MziziMkavu ila huyu wakati mwingine ana ushauri kama wa mganga wa kienyeji, lol!
Ushauri wangu ni waTiba Mbadala sina ushauri wakumwambia mtu akatumie Asprin au Panadol kwenda na Dawa za kizungu sina mpango nazo mimi. Dawa ninazoziamini ni Dawa za Tiba mbadala, ukitaka Dawa za kizungu nenda hospitali zimejaa Tele Fixed Point
 
Last edited by a moderator:
Helo wanaJF,

Mwenzenu nasumbuliwa na kichwa kuuma usiku, nimeambiwa ni kipanda uso sijui? yaani usiku jana nimeumwa kweli kweli.

Mara nyingi huwa naumwa asubuhi wakati wa kuamka kama dkk 3 hivi then kinapotea nakuwa ok.Nakunywa maji sana hata lt 3 kwa siku .

Naombeni mwenye kujua dawa mwenzenu nita rip!
Mkuu smile, jee umeshapima macho hivi karibuni..??
 
Kujamiiana kunatibu tatizo la Kipanda uso

Je umeshawahi kujiuliza maumivu ya kichwa yanayofahamika kama kipanda uso yanatokana na kitu gani? Kwa nini watu wanakuwa na kipanda uso? Kuna maelezo mengi sana kuhusu tatizo hili. Kwa sababu huenda hujajiuliza ni kwa nini watu wanapata kipanda uso, ningependa kukusaidia ili ujue kwa upana kuhusu kisirani hiki. Lakini usishangae.
Kwa mujibu wa wataalamu ni kwamba, maumivu hayo ya kichwa ni ya hamu ya tendo la ndoa kwa anayeumwa. Imebainika kwamba, watu wenye kupatwa na tatizo la kipanda uso, kwa kawaida wanakuwa na hamu kubwa ya tendo la ndoa, tena kwa kiwando cha zaidi ya asilimia 20, ukilinganisha na wale ambao wanakabiliwa na maumivu ya kichwa yanayotokana na wasiwasi au sababu nyingine. Pia imethibitika kwamba, wanaume ndio wanaoonekana kuathirika zaidi na tatizo hili kuliko wanawake.

Kwa nini kuwe na ukaribu huo, kati ya kipanda uso na hamu ya tendo la ndoa? Tofauti na ambavyo inaweza ikaelezwa kwamba, hamu ya tendo la ndoa ndiyo yenye kusababisha kipanda uso, ukweli unahusu zaidi kemikali za ubongo kuwa ndiyo chanzo hasa cha tatizo hili. Ushahidi wa kitaalamu umeonesha ukweli huo. Wataalamu wa Chuo Kikuu cha Wake Forest huko nchini Marekani kwa mfano, wamesema kwamba, kemikali yenye kuathiri tendo la ndoa huko kwenye ubongo, ndiyo hiyohiyo yenye kuathiri au kusababisha kipanda uso.

Jarida la Headache linaeleza kwamba, kuna uhusiano kati ya hamu ya tendo la ndoa na kipanda uso. Kemikali inayosababisha msongo ambayo, hufahamika kama serotonin ndiyo ambayo inahusishwa na jambo hili. Kemikali hii inayopatikana kwenye eneo fulani la ubongo, huharibu hali mbalimbali, ikiwemo hamu ya tendo la ndoa, usingizi, hamu ya kula na hali nyingine. Kemiali hii inapokuwa nyingi, mtu hujikuta akiwa hana hamu ya tendo la ndoa. Watu wanaopatwa na kipanda uso , kwa kawaida wanakuwa na kiwango cha chini kabisa cha kemikali hii.

Kwa sababu, kemikali hii inapokuwa nyingi , mtu huwa na kiwango kidogo cha hamu ya endo la ndoa, na inapokuwa kidogo, humfanya mtu kuwa na hamu kubwa ya tendo la ndoa, na huo ndio uhusiano unaokuwepo. Hii ina maana kwamba, ambaye anapatwa na tatizo la kipanda uso, nabidi ajue kwamba, uwezekano wa kuwa na hamu ya tendo la ndoa kwa kiwango cha juu ni mkubwa. Kwa hiyo kwa kushiriki kwake tendo la ndoa kutaongeza kiwango cha kemikali hiyo na mamivu yatatoweka…..Bibie Smile njoo uwe mpenzi wangu nikutibu kipanda uso chako kitapona inshallah...
 
Whaaaat? Kweli mkuu?
Kujamiiana kunatibu tatizo la Kipanda uso
Je umeshawahi kujiuliza maumivu ya kichwa yanayofahamika kama kipanda uso yanatokana na kitu gani? Kwa nini watu wanakuwa na kipanda uso? Kuna maelezo mengi sana kuhusu tatizo hili. Kwa sababu huenda hujajiuliza ni kwa nini watu wanapata kipanda uso, ningependa kukusaidia ili ujue kwa upana kuhusu kisirani hiki. Lakini usishangae.

Kwa mujibu wa wataalamu ni kwamba, maumivu hayo ya kichwa ni ya hamu ya tendo la ndoa kwa anayeumwa. Imebainika kwamba, watu wenye kupatwa na tatizo la kipanda uso, kwa kawaida wanakuwa na hamu kubwa ya tendo la ndoa, tena kwa kiwando cha zaidi ya asilimia 20, ukilinganisha na wale ambao wanakabiliwa na maumivu ya kichwa yanayotokana na wasiwasi au sababu nyingine. Pia imethibitika kwamba, wanaume ndio wanaoonekana kuathirika zaidi na tatizo hili kuliko wanawake.

Kwa nini kuwe na ukaribu huo, kati ya kipanda uso na hamu ya tendo la ndoa? Tofauti na ambavyo inaweza ikaelezwa kwamba, hamu ya tendo la ndoa ndiyo yenye kusababisha kipanda uso, ukweli unahusu zaidi kemikali za ubongo kuwa ndiyo chanzo hasa cha tatizo hili. Ushahidi wa kitaalamu umeonesha ukweli huo. Wataalamu wa Chuo Kikuu cha Wake Forest huko nchini Marekani kwa mfano, wamesema kwamba, kemikali yenye kuathiri tendo la ndoa huko kwenye ubongo, ndiyo hiyohiyo yenye kuathiri au kusababisha kipanda uso.

Jarida la Headache linaeleza kwamba, kuna uhusiano kati ya hamu ya tendo la ndoa na kipanda uso. Kemikali inayosababisha msongo ambayo, hufahamika kama serotonin ndiyo ambayo inahusishwa na jambo hili. Kemikali hii inayopatikana kwenye eneo fulani la ubongo, huharibu hali mbalimbali, ikiwemo hamu ya tendo la ndoa, usingizi, hamu ya kula na hali nyingine. Kemiali hii inapokuwa nyingi, mtu hujikuta akiwa hana hamu ya tendo la ndoa. Watu wanaopatwa na kipanda uso , kwa kawaida wanakuwa na kiwango cha chini kabisa cha kemikali hii.

Kwa sababu, kemikali hii inapokuwa nyingi , mtu huwa na kiwango kidogo cha hamu ya endo la ndoa, na inapokuwa kidogo, humfanya mtu kuwa na hamu kubwa ya tendo la ndoa, na huo ndio uhusiano unaokuwepo. Hii ina maana kwamba, ambaye anapatwa na tatizo la kipanda uso, nabidi ajue kwamba, uwezekano wa kuwa na hamu ya tendo la ndoa kwa kiwango cha juu ni mkubwa. Kwa hiyo kwa kushiriki kwake tendo la ndoa kutaongeza kiwango cha kemikali hiyo na mamivu yatatoweka…..Bibie Smile njoo uwe mpenzi wangu nikutibu kipanda uso chako kitapona inshallah...
 
whaaaat? kweli mkuu?
Bibie Smile ni kweli mimi ndio ulikuwa ugonjwa wangu miaka 20 iliyopita nilikuwa ninajifanya Mlokole basi kila siku ninaumwa na kichwa cha upande mmoja Kipanda uso Tangu niowe niwe na mke kimeondoka ninafanya nae mapenzi kila wiki mara zangu 3 tosha kwa kila kitu Sex ni dawa nzuri kwa kila maradhi.

Dawa ingine ya Kipanda Uso hii hapa chini.

Dawa ya Maradhi ya Kipanda Uso Migrane: Grapes juice: Juice ya zabibu zilizoiva ndio dawa ya migrane, utumie kiwango kidogo cha juice hiyo atumia hadi atakapo ona kuwa amepata nafuu! Inshallah itamsaidia shemeji atumie kisha uje hapa unipe Feedback.

Grape Juice Juisi ya Zabibu Dawa ya Ugonjwa wa Kipanda uso Migraine. Chanzo. MziziMkavu Mtaalam na Mtafiti wa Dawa za Mitishamba.
 
Last edited by a moderator:
Unavyoweza kunufaika kwa kufanya tendo la ndoa


Tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili. Wataalamu wanasema kwamba, unapofanya tendo hilo mara tatu kwa wiki husaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini na pia endapo mtu atafanya tendo mara tatu kwa wiki kwa kipindi cha mwaka mzima ni sawa na kukimbia maili 75.Tendo la ndoa huongeza takriban vizalisha nguvu 150 kwa nusu saa ambayo ni sawa na kukimbia dakika 15 kiwanjani.

Kuongeza mwendo wa damu

Tendo la ndoa husaidia kuongeza kasi ya mtiririko wa damu kwenye ubongo na sehemu nyingine ya viungo vya mwili, hii huchangia kuongeza kasi ya mapigo ya moyo na kuboresha mfumo wa upumuaji.

Msukumo thabiti wa damu mpya yenye oxygen na homoni zenye chembe chembe hai zinapopenya kwenye mishipa ya damu husaidia katika uunguzaji wa chakula, pia huondoa kiasi cha uchafu ambao ungesababisha mishipa na kushindwa kufanya kazi na kumfanya mwanadamu apate maumivu ya mwili.

Hupunguza mafuta yenye kileo (Cholesterol)

Tendo la ndoa huweka sawa uwiano wa mafuta yenye kileo (Cholesterol) nzuri na cholesterol mbaya na wakati huo hupunguza kwa ujumla kiasi cha mafuta yenye kileo mwilini.

Kupunguza maumivu

Wakati wa kufanya mapenzi, homoni iitwayo oxytosin huzalishwa mwilini ambayo husababisha kuzalishwa kwa homoni iitwayo endorphin ambazo hupunguza maumivu kama vile kuvimba sehemu za viungo (arthritis) maumivu ya shingo (Whiplash) na maumivu ya kichwa.

Ulinzi wa tezi ya kibofu (mwanaume)

Majimaji yanayozalishwa katika tezi ya kibofu (prostate) yakizidi husababisha kuleta matatizo mwilini. Tendo la ndoa la mpangilio huondoa uzalishaji wa majimaji hayo yenye madhara. Mabadiliko ya ghafla ya tendo la ndoa huelekea kuleta matatizo yahusianayo na tezi ya prostate.

Kupunguza mfadhaiko wa moyo

Kujitosheleza na kupumzisha mwili baada ya tendo la ndoa ni muhimu kwa kutuliza akili na kurekebisha mzunguko wa damu mwilini. Watu wenye kushiriki tendo la ndoa wanatajwa kushinda mfadhaiko na kupata usingizi mnono hasa mara baada ya kumaliza kufanya mapenzi.

Huongeza uzalishaji wa homoni za kiume(testosterone) na za kike (Oestogen).

Faida nyingine inayopatika ni kuongeza uzalishaji wa homoni za kiume na za kike likiwemo suala zima la msukumo wa kufanya tendo hilo ambapo mhusika hutosheka zaidi ya yule ambaye hana mazoea ya kufanya mapenzi. Hata hivyo, baadhi ya madaktari wamegundua kwamba ongezeko la homoni za kiume/ kike huweza kuwakinga wanadamu na magonjwa ya moyo.

Kuishi muda mrefu huku ukionekana kijana

Wakati wa tendo la ndoa homoni iitwayo DHEA huzalishwa mwili mzima. Hii husaidia msisimko wa mapenzi kuongezeka. Kutokana na elimu hiyo DHEA ni kemikali yenye nguvu duniani ambayo husaidia kuweka sawa kinga ya mwili, huongeza ufahamu, kuimarisha mifupa, kutengeneza na kuimarisha afya na kuimarisha mishipa ya moyo (Cardiovascular).

Hupunguza baridi na mafua

Elimu inaonesha kuwa wanaofanya tendo la ndoa mara moja au mbili kwa wiki huongeza 30% ya uzalishaji wa chembe chembe hai za mwili ziitwazo Immunogloulin A ambazo huwa na kazi ya kuulinda mwili dhidi ya magonjwa. Hizo ni faida chache tu za kufanya tendo la ndoa.

Wakati mwingine nitawaletea hasara za kufanya tendo hilo mara kwa mara. Jambo kubwa la kuzingatia ni kuwa faida hizi hupatikana kwa ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na hofu ya kufumaniwa au kuumbuliwa. Ndiyo maana nikasema ni maalum kwa wanandoa tu.cc Smile


 
Last edited by a moderator:
Bibie Smile ni kweli mimi ndio ulikuwa ugonjwa wangu miaka 20 iliyopita nilikuwa ninajifanya Mlokole basi kila siku ninaumwa na kichwa cha upande mmoja Kipanda uso Tangu niowe niwe na mke kimeondoka ninafanya nae mapenzi kila wiki mara zangu 3 tosha kwa kila kitu Sex ni dawa nzuri kwa kila maradhi.

Dawa ingine ya Kipanda Uso hii hapa chini.

Dawa ya Maradhi ya Kipanda Uso Migrane:Grapes juice: Juice ya zabibu zilizoiva ndio dawa ya migrane, utumie kiwango kidogo cha juice hiyo atumia hadi atakapo ona kuwa amepata nafuu! Inshallah itamsaidia shemeji atumie kisha uje hapa unipe Feedback.

Grape Juice Juisi ya Zabibu Dawa ya Ugonjwa wa Kipanda uso Migraine. Chanzo. MziziMkavu Mtaalam na Mtafiti wa Dawa za Mitishamba.
Hii juice sidhani kama ni dawa kwa sababu huku dom ni msimu wa hizo zabibu na mimi huwa napipenda kweli..tena nilidhani ndo zinanisababishia maana kwa siku nakula hata vichane vitano, hiyo sio labda kama hizi zabibu za hapa ni feki..ila zinatoka shambani kabisa kuna mkulima ananiletea fresh kabisa.
 
Smile, Usipofanya siku nyingi au miaka mingi Tendo la ndoa (Sex) lazima utaumwa na kichwa haswa upande mmoja kipanda Uso, utapatwa pia na Mafadhaiko wa moyo yaani Stress, utapatwa na huzuni ya moyo yaani melancolie Utapatwa na Ugonjwa wa ukosefu wa usingizi. Na maradhi mengine mengi ya ya mwili haswa mwili wako utakuwa upo baridi utakuwa mtu mwenye hasira hasira zisizo kwisha kwa sababu hujafanya tendo la ndoa muda mrefu. Kama una mpenzi au Mume jaribu kufanya nae kwa wiki mara 3 kisha njoo hapa unipe Feedback.cc Smile
 
Usile vitu vilivyosindikwa, mfano nyama za makopo, sambusa za nyama,soseji etc pia punguza au tumia kifaa maalum cha kupunguza mwanga wa computer yko.
 
Hii juice sidhani kama ni dawa kwa sababu huku dom ni msimu wa hizo zabibu na mimi huwa napipenda kweli..tena nilidhani ndo zinanisababishia maana kwa siku nakula hata vichane vitano....hiyo sio labda kama hizi zabibu za hapa ni feki..ila zinatoka shambani kabisa kuna mkulima ananiletea fresh kabisa
Samahani kwani wewe Bibie Smile kabila lako ni mchaga nini? Maana Wachaga kwa ubishi hauwawezi kamaunajuwa kiingereza soma chini hapa. Ninakuuliza Swali Je una Matatizo ya ukosefu wa kupata choo kikubwa? Pia kipanda uso kinachangia kama hupati choo kikubwa kwa ulaini. Soma hapa chini Faida ya Juisi ya Zabibu.

DOES GRAPE JUICE HELP WITH MIGRAINES?

Migraine headaches typically result in severe throbbing and often are accompanied by vomiting, nausea and extreme sensitivity to light. Subtle changes often signal the onset of a migraine and can include

moodiness and depression, a stiff neck, diarrhea or constipation and food cravings. Sometimes, you can discover specific triggers for your headaches and make sufficient changes to avoid the triggers. Red wine often is a trigger for many migraine sufferers, while grape

juice and grape seed extract can provide relief for many people. Before trying any alternative treatments or making dietary changes, talk to your doctor to prevent additional complications.


CAUSES
Heredity and environmental factors typically play a role in the development of migraines, according to the Mayo Clinic website. An imbalance of your brain chemicals, particularly serotonin levels, also leads to the severe pain. Nutritional deficiencies that can be corrected with supplements and diet may prove to be the culprit behind your headaches. Finding the triggers that precede your headaches can help to mitigate their effects. Common foods that can trigger migraines include aged cheese, alcohol, chocolate, caffeine and monosodium glutamate, or MSG. Stress, changes in the weather, intense exercise and irregular sleep patterns also can trigger your migraines.

NUTRITION
Skipping meals can lead to migraine headaches, and you may need additional nutrition to prevent your headaches. In particular, vitamin B2, or riboflavin has been found to be effective in treating migraine headaches. One study showed treating patients with riboflavin decreased the number of migraines they experienced by 50 percent, according to the University of Maryland Medical Center. Magnesium, the amino acid 5-hydroxytryptophan, or 5-HTP, feverfew and butterbur are other nutritional supplements that may help with migraine symptoms.

GRAPES
Grapes are high in vitamins C and A as well as B2 and other antioxidants. Making your own juice and incorporating the skin and seeds provides the highest levels of riboflavin and other nutrients that may relieve your migraines, according to grape-grower Delta Packing. Youll want to take advantage of all the compounds found in the grapes to get the most benefit from the juice.

BENEFITS
The B2 found in grapes and grape juice also may interact favorably with your liver functions, which often play a role in migraine development, according to clinical research resource Acu-Cell. Classic migraines that arent associated with sinus congestion or hormonal fluctuations often are related to abnormal liver function. Vitamin B2 acts as an iron antagonist to reduce iron contents. Donating blood often produces the same effect, but it is not always practical. The high vitamin C content in grapes may effectively balance your iron levels if your migraines are associated primarily with irregular estrogen levels.

Does Grape Juice Help With Migraines? | LIVESTRONG.COM
 
Last edited by a moderator:
helo wadauz
mwenzenu nasumbuliwa na kichwa kuuma usiku nimeambiwa ni kipanda uso sijui
? yaani usiku jana nimeumwa kweli kweli..
mara nyingi huwa naumwa asubuhi wakati wa kuamka kama dkk 3 hivi then kinapotea nakuwa ok.
nakunywa maji sana hata lt 3 kwa siku .
naombeni mwenye kujua dawa mwenzenu nita rip!

With this description you stated, hio sio kipanda uso! hizo ni brain stress road-map!
re-arrange and re-manage your brain concern activities! pumzika sana muda mrefu, fanya kazi laini laini sio za kufikirisha!

km una mpenzi wa kiume, better spend most of your time with him talking about null shits not serious matters!( not necessarily kutombana)! utapona!
 
Back
Top Bottom