Dogo Tundu
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 448
- 189
Niliwahi fanya regent hospital na Apollo hospital India, kote huko sikukutwa na tatizo lolote, madaktari waligundua kuwa ni hiyo migraine niliieleza hapo awali.Nakushauri ukafanye kipimo cha CT Scan , kabla ya kufata shauri nyingi zitakuchanganya