Kipa wa PSG apata ajali mbaya akiendesha farasi, awekwa chini ya uangalizi maalum

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Kipa.jpg

Sergio Rico ambaye ni kipa namba 2 wa Paris St-Germain amepata majeraha makubwa katika ajali wakati akiendesha farasi Nchini Hispania alipoenda kwa ajili ya mapumziko.

Rico (29) alikuwa katika Mji wa Huelva na baada ya ajali hiyo iliyohusisha farasi kugongana alisafirishwa kwa helikopta kupelekwa Jijini Seville kwa matibabu zaidi.

Rico alikuwa benchi wakati timu yake inatangaza ubingwa wa 11 mfululizo katika Ligue 1 licha ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Strasbourg, Mei 27, 2023.
---

Sergio Rico: Paris St-Germain goalkeeper in 'serious' condition after riding accident

Paris St-Germain goalkeeper Sergio Rico is in a "serious" condition in intensive care after a horse riding accident, his club says.

Rico, 29, was riding in the El Rocio region of Huelva in Spain when he was in a collision with a runaway horse, local media reported.

The Spaniard was flown by helicopter to a hospital in Seville.

Rico was on the bench as PSG won a record 11th league title with a 1-1 draw at Strasbourg on Saturday.

He had returned to his native Spain after the squad were given time off following their win.

"Sergio is in good hands and is battling to pull through," the player's family said in a statement on Sunday.

"He is receiving the best care, we must tread with caution, especially for the next 48 hours."

A PSG spokesperson said Rico is "i a serious condition".

The club later added it was "in constant contact with his loved ones".

Source: BBC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom