MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 510
Wengine hatupajui Dar (nipo Mlali), tuambie basi how those places look like...
Oh really?
Wengine hatupajui Dar (nipo Mlali), tuambie basi how those places look like...
1.si unajua jiji kubwa hili ukitaja kiwanja taja na sehemu kilipo.
2.hili zoezi la kura usimamie mwenyewe msalaba wako. Akuratibie nani mkuu???
3.halafu kila mtu ana interest zake.ukitaja sehemu taja na masifa ya hiyo sehemu sio hivihivi
watu watapigaje kura hata mgombea hawamjui yeye wala chama chake???
Watu wa Dar kwakujipendelea tu hamjambo sasa sie tulioko Mfaranyaki itakuwaje??
Jamani na mimi demu wangu ana ka-pub kake kanaitwa Wallet Pub kapo pande za Tbt.kapigieni promo kiaina basi.
Kaka mimi naona hii imekaa ki promo zaidi ilipaswa uijengee uhalali kwenye matangazo madogomadogo.hatimaye pamoja na kusuasua kwa kura, calabash imepata ushindi mwembamba wa kura 6 na kuvibwaga viota vingine. Salute kwa waliopiga kura. Hata kwa wale ambao hawakupiga, calabash is the place.
Calabash iko barabara ya sam nujoma, karibia na mwenge. Mtu yoyote maeneo ya mwenge atakuelekeza calabash ilipo. Hapo ndio patakuwa angalau eneo la mtu kujisikia kukutana na kujenga mahusiano (ya kirafiki, kibiashara, kimapenzi, n.k) bila kuanza kuchimbachimba kama we ni memba ama la!
Nawasihi twende kwa wingi tu maana jf tuko wengi pia. Make calabash your meeting point, guys.
Thanks and Merry x mass to all!!!!!!!!!!!!!!
Kaka mimi naona hii imekaa ki promo zaidi ilipaswa uijengee uhalali kwenye matangazo madogomadogo.
Msimamizi wa kura alikuwa nani? Yasije yakawa kama yale ya Kabila Kabange Jr vs Etiene Tshisekedi, ha ha ha haaaaa!
Nije. . . . ?
njoo aisee! Mambo hapa mazuri tu