Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,247
Kujari=Kujali
Jifunze kuandika kwanza ndipo uanze kutoa ushauri
Kwa kuamua kunirekebisha nilicho kiandika naamini umenielewa vizuri sana
Kujari=Kujali
Jifunze kuandika kwanza ndipo uanze kutoa ushauri
U reveal yourself how low mind personel ulivyo
Husda kwangu mwiko,hapa unapata ukweli tupu bila kupepesa maneno.Punguza husda
Mkuu unajua maana ya kujidhalilisha ama unatumia tu hilo neno bila kujua maana yake?mkuu unajidhalilisha. isikilize tena hiyo script. yaelekea hujaelewa maana ulichondika hapa ni irrelevant.
Kwa kuamua kunirekebisha nilicho kiandika naamini umenielewa vizuri sana
Zitto kaleta maendeleo jimboni kwake kwa sababu ya kupiga kelele bungeni na kufuatilia idara/wizara husika. Usipofanya hivyo sahau maendeleo jimboni kwako.
Kosa kubwa alilofanya ni kufanya uchuuzi katika siasa kwamba unaweza kula huku na kule maisha yakasonga mbele!
Sio kosa lako.Nailaani sana serikali ya CCM kwa kuharibu elimu ya watoto wetu.
Location ya video hii ni Mwandiga au DSM?