kitukuupinde
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 210
- 168
Last edited by a moderator:
Mbona wanaongea hivi kama ngonjera au ndio kitu mwongozaji alitaka!
Upuuzi mtupu
Mbona naona magorofa hapo?
hiyo kweli ni Kigoma?
Kuigiza ni hatua moja na ukweli ni hatua nyingine,wananchi ndio wanaojua ukweli maana kama kadi na hizo barabara hata kwetu zipo na zimekuja kwa sababu ya kodi yetu wananchi wote wa nchi hii,mambo haya yangekuwa yanatoka mfukoni ningekubali uigizaji wa namna hii zaidi ya hapo hizi ni sifa za kijinga tu ambazo kila mbunge anaweza kujivika.
Zitto anapewa kile ambacho anastahili. Ni mbunge pekee ambaye rekodi ya utendaji wake haitiliwi mashaka. Uwezo wake ni zaidi ya wabunge wote wa upinzani.
Nimeipenda
Acha nongwa....mwenzenu anaitumia mitandao ya kijamii ipasavyo.....kalagabaho
Naamini ujumbe umeupata...kukubali ama kukataa linabaki kuwa jukumu lako
Punguza husda
Upo sahihi sana....
Ni ubunifu maridhawa wa kufikisha ujumbe.......even layman can easily understand
mkuu kama ni tijihada basi we numberiwani, na wewe upo ile safari ya ujerumani, alafu mwal kaijage mmemficha wapi siku hizi, usije kuwa ndie wewe