Kiongozi wetu, ACT - Wazalendo Zitto Kabwe

Kiongozi wetu, ACT - Wazalendo Zitto Kabwe

Kuigiza ni hatua moja na ukweli ni hatua nyingine,wananchi ndio wanaojua ukweli maana kama kadi na hizo barabara hata kwetu zipo na zimekuja kwa sababu ya kodi yetu wananchi wote wa nchi hii,mambo haya yangekuwa yanatoka mfukoni ningekubali uigizaji wa namna hii zaidi ya hapo hizi ni sifa za kijinga tu ambazo kila mbunge anaweza kujivika.
mkuu unajidhalilisha. isikilize tena hiyo script. yaelekea hujaelewa maana ulichondika hapa ni irrelevant.
 
Zitto anapewa kile ambacho anastahili. Ni mbunge pekee ambaye rekodi ya utendaji wake haitiliwi mashaka. Uwezo wake ni zaidi ya wabunge wote wa upinzani.

Kweli uwezo wake wa kusaliti chama chake na kuanzisha chama akiwa ndani ya chama
 
Hadithi za kusadikika hazikuwa na ukweli wowote.....kama ungalikuwa umedharau uzi huu usingaliusoma....

It seems even ur IQ level is very low.

Vipi mbona povu jingi namna hiyo?au tayari umebugia kayoga imechacha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom