Sensa ni fedheha na aibu nyingine kwa Kikwete
Yaaani polisi na sensa sijui kuna connection gani...hahaaaa failed state
mbona hao wengi, mlion 10
You are right,we've got a long way to go!Ndugu yangu Mangaline, kama umeona post nyingi za juu hapo wapumbavu wakubwa wamefurahia huyu jamaa kunyimwa alichokuwa anadai. Huyo alijitolea kuongoza wenzie kudai haki amekatwa jina, na wengine wamelipwa kupitia mgongo wake wapumbavu wengine wanalifurahia hilo, ndio uone ni aina gani ya mijitu mijinga imejaa huku uraiani, yaani hatuwezi kutoka kwa kuwa na wapuuzi kama hawa wasioelewa nini maana ya kudai stahiki zao!
Serikali iache ubabe kama kweli alikuwa hajapewa haki yake asiseme?
Wangemtoa meno bila ganzi.