baluhya M.
Member
- Apr 22, 2011
- 33
- 79
Nimepata habari za kuaminika kutoka kwa rafiki yangu ambaye naye ni karani wa sensa hapa DSM kuwa yule kiongozi wao aliyeonekana kupitia tv mbalimbali(kijana mnene mweupe hv) akisisitiza serikali kuwalipa pesa yao yote ya semina ya siku saba jina lake limekatwa,na sasa hajapangiwa kituo na hajaripwa posho ya ukarani wa sensa.
mytake:Hawa makarani wanapaswa kutanguliza utaifa mbele na sio maslahi yao,wakumbuke walimu na madaktari n.k wote wako kazini kwa kutanguliza uzalendo
mytake:Hawa makarani wanapaswa kutanguliza utaifa mbele na sio maslahi yao,wakumbuke walimu na madaktari n.k wote wako kazini kwa kutanguliza uzalendo