Kiongozi wa chama cha ACT - Wazalendo Zitto Kabwe apata mapokezi makubwa Mjini Kigoma

Zitto ndo nani???

ZZK alisema haya kwenye mkutano aliofanya katika kata ya Ngoruka


Alisema "tukaenda Msoma, tukaenda Maswa mikoa 11 siku 12 Mfululuzo chama kikapokelewa vinzuri sana...."

Aliendelea kwa kusema
"... Kwa hiyo kote huko tulikopita, sasa mikoa 13 ya kutambulisha uongozi wa chama, wamekubali chama, Leo tuko kwa wenye chama, tulisema tukianza kwa wenye chama wataendeleeza zile propaganda hicho chama cha waha cha watu wa kigoma, tukasema tunakwenda kuanza kwa Wangoni.Tukaenda mpaka kwa wakurwa, wasukuma kwa haya leo tumerudi huku, KWA WENYE CHAMA na nyie hamjatuangusha kuanzia Kakongo, tumesimamishwa leo zaidi ya mara sita................................

Hakuishia hapo akaendelea kwa kusema
"........ Lakini nataka niwaambie Kigoma, na muwaambie ndugu zenu ambao wapo nje ya Kigoma hawapo kwenye mkutano huu Wala msiogope kuambiwa hiki ni chama chenu, tembeeni kifua mbele mkisema hiki ni chama chenu, hakuna ubaya wowote hiki kuwa ni chama chenu, hakuna ubaya wowote nyie kuwa na chama.....

HAFAI KUIGWA KATIKA JAMII
 
hizo ni kanda zake. Act ccm ni chama cha kikanda na kidini na ukabila. Chama cha waha. Hii dhambi itawatafuna mana mlianza kuwasingizia chadema sasa inawatafuna wenyewe. Mabango hapo yanasema eti zito ndie rais wa kigoma. Ukabila mtupu. Tangu lini mliwahi kusikia au kuona kitu kama hicho kwa arusha au kilimanjaro au tanga??? Ukabila huu unaonekana kigoma na mbeya. Hii nchi tunailewa. Huo uzalendo wa nchi unatoka wapi kama zito ndi rais wa kigoma!!??? Azimio la tabora ndo manake kuwa zito ndo rais wa kigoma!??? Msitufanye kuwa watz wote sie kuwa ni wajinga. Hakuna mtu mbaya ktk nchi hii kama zito ajifanyae mzalendo huku wafuasi wake wanaonesha dunia waz kuwa ni wabinafsi wakionesha zito ni rais wa kigoma wa waha...shame upon u zzk!!

bavicha akili zao zinafanana.
Lazima mkae mwaka huu; tundu lissu yupo wapiiiiiii
mnyika yupo wapi.

Arusha & kilimanjaro - ndo ambulance zinapelekwa jumla 4; magari ya takataka hai wanazalisha tan 1 kwa siku ; ubungo tanai 234 kwa siku; lakini magari ya taka yamepelekwa kilimanjaro
 
Kwahio tufanyeje sasa

ZITTO AENDEKEZA UKABILA KWA KAULI ZAKE POPOTE APINGWE HAFAI KUIGWA

ZZK alisema haya kwenye mkutano aliofanya katika kata ya Ngoruka


Alisema "tukaenda Msoma, tukaenda Maswa mikoa 11 siku 12 Mfululuzo chama kikapokelewa vinzuri sana...."

Aliendelea kwa kusema
"... Kwa hiyo kote huko tulikopita, sasa mikoa 13 ya kutambulisha uongozi wa chama, wamekubali chama, Leo tuko kwa wenye chama, tulisema tukianza kwa wenye chama wataendeleeza zile propaganda hicho chama cha waha cha watu wa kigoma, tukasema tunakwenda kuanza kwa Wangoni.Tukaenda mpaka kwa wakurwa, wasukuma kwa haya leo tumerudi huku, KWA WENYE CHAMA na nyie hamjatuangusha kuanzia Kakongo, tumesimamishwa leo zaidi ya mara sita................................

Hakuishia hapo akaendelea kwa kusema
"........ Lakini nataka niwaambie Kigoma, na muwaambie ndugu zenu ambao wapo nje ya Kigoma hawapo kwenye mkutano huu Wala msiogope kuambiwa hiki ni chama chenu, tembeeni kifua mbele mkisema hiki ni chama chenu, hakuna ubaya wowote hiki kuwa ni chama chenu, hakuna ubaya wowote nyie kuwa na chama..... "
 
Siku zote ukiona mlevi kaishiwa maneno Jua kalala au kazidiwa na pombe, sasa Zitto Zuber Kabwe namuona kama mlevi amelewa uroho tamaa na uchu wa madaraka hivyo wala simshangai kabisa
 
Siku zote ukiona mlevi kaishiwa maneno Jua kalala au kazidiwa na pombe, sasa Zitto Zuber Kabwe namuona kama mlevi amelewa uroho tamaa na uchu wa madaraka hivyo wala simshangai kabisa

Ukabila na udini tuupige vita
 
Amefunguka nini sasa hapa!?!

ZITTO AENDEKEZA UKABILA KWA KAULI ZAKE POPOTE APINGWE HAFAI KUIGWA

ZZK alisema haya kwenye mkutano aliofanya katika kata ya Ngoruka


Alisema "tukaenda Msoma, tukaenda Maswa mikoa 11 siku 12 Mfululuzo chama kikapokelewa vinzuri sana...."

Aliendelea kwa kusema
"... Kwa hiyo kote huko tulikopita, sasa mikoa 13 ya kutambulisha uongozi wa chama, wamekubali chama, Leo tuko kwa wenye chama, tulisema tukianza kwa wenye chama wataendeleeza zile propaganda hicho chama cha waha cha watu wa kigoma, tukasema tunakwenda kuanza kwa Wangoni.Tukaenda mpaka kwa wakurwa, wasukuma kwa haya leo tumerudi huku, KWA WENYE CHAMA na nyie hamjatuangusha kuanzia Kakongo, tumesimamishwa leo zaidi ya mara sita................................

Hakuishia hapo akaendelea kwa kusema
"........ Lakini nataka niwaambie Kigoma, na muwaambie ndugu zenu ambao wapo nje ya Kigoma hawapo kwenye mkutano huu Wala msiogope kuambiwa hiki ni chama chenu, tembeeni kifua mbele mkisema hiki ni chama chenu, hakuna ubaya wowote hiki kuwa ni chama chenu, hakuna ubaya wowote nyie kuwa na chama..... "
 
Back
Top Bottom