Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,619
- 5,654
Siku mkipata udiwani si itakua balaaa!
Udiwani mimi wa nini?We chinga japo mtani wangu,Wacha ujinga huo...
Siku mkipata udiwani si itakua balaaa!
Nadhani mburura Bavicha hawataonekana hapa. azi ya Mzalendo hiyo
Hakuna asiyejuma kuwa ZZK yuko chama kipya alichokiunda akiwa CHADEMA kwa kushirikiana na CCM ili kuua upinzani.
Dar kuna watu humu watameza viwembe kwa wivu .. Hongera ACT
Samahani jamani, hivi hapo ndo Kigoma mjini? Ndo maana wanamuona Zito Rais wao!!!
Wengine tunapita tu!