Kiongozi wa chama cha ACT - Wazalendo Zitto Kabwe apata mapokezi makubwa Mjini Kigoma

Kigoma ni nchi ya JIRANI na Rais wao ni Zitto. Chadema watakuwa POA tu bila ya Zitto na nchi ya WASALITI.


4114.jpg

Tulieni kimyakimya Wanakigoma tutawaonyesha umahiri wetu katika mapinduzi ya kisiasa pale tu tunapokuwa hatujaridhishwa na maamzi yanayofanywa na viongozi wa vyama vya siasa, kama Chadema walivyofanya kwa shujaa Zitto ili wampoteze kisiasa. kwanza Chadema isahau kupata jimbo kigoma
 
Zitto saizi yake ni Bavicha. Kiongozi yeyote wa Bavicha anaweza kupiga mkutano na kuhutubia maelfu ya watu bila kutegemea viongozi wa kitaifa.Sasa hicho kikundi chenu bila ayatullah hakuna mkutano! Afande Sele tangu atoke CHADEMA hajawahi kuhutubia mkutano wowote Morogoro,wakati ule alikuwa akiandaliwa mikutano na Bavicha akajaza watu akadhani yeye ni maarufu sana. Sasa amebaki kumfuata Zitto nyuma tu kama nzi anayefuata mav.I.

Ukisikia mihemuko ndio hii
 
Mbona kila siku yuko kigoma, yeye si alisema hana siasa za ukanda inakuwaje? Na ACT wameona sehemu nyingine kugumu? Dogo uliongelea wenzako mabaya lakini malipo ni hapa hapa duniani. Mungu anakuumbua
 
ilikuwa bila sele hakuna bavicha ; morogoro
Sasa mbona Bavicha wanaendelea na mikutano na CHADEMA imeshinda mitaa,vijiji na vitongoji Morogoro bila Sele wala Zitto.Lakini Sele kazi yake ni kumfuata Zitto tu kila kina sijui huo ubunge ataupata vipi kama hafanyi siasa Morogoro.Zitto mjanja yeye anatoka na kurudi kigoma kulinda jimbo Lakini mazoba mengine kama Sele,Mchange na yule mama Mkiti wao WA chama hawafanyi siasa kwenye majimbo waliyotangaza nia wamebaki kumsindikiza Zitto bungeni.Amino nawaambia hiki kitakuwa chama cha mbunge mmoja tu,Zitto basi.
 
Bora hao wahuni waliovua mashati na kupata masinzi wametuma ujumbe wa kweli,Zitto Rais wa Kigoma tena Kigoma Mjini huko kwingine hana chake. Hicho ni chama cha kikabila.
 
Sasa mbona Bavicha wanaendelea na mikutano na CHADEMA imeshinda mitaa,vijiji na vitongoji Morogoro bila Sele wala Zitto.Lakini Sele kazi yake ni kumfuata Zitto tu kila kina sijui huo ubunge ataupata vipi kama hafanyi siasa Morogoro.Zitto mjanja yeye anatoka na kurudi kigoma kulinda jimbo Lakini mazoba mengine kama Sele,Mchange na yule mama Mkiti wao WA chama hawafanyi siasa kwenye majimbo waliyotangaza nia wamebaki kumsindikiza Zitto bungeni.Amino nawaambia hiki kitakuwa chama cha mbunge mmoja tu,Zitto basi.

Mbona CHADEMA WAMEJIKITA ARUSHA ; KILA MKUTANO MKUBWA ARUSHA; MWAKA 2015; CHADEMA WAMEFANYA MIKUTANO 200 ARUSHA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 
tabora
shinyanga
kagera
sumbawanga
mwanza

nako huko ni kwao

Hizo ni kanda zake. Act ccm ni chama cha kikanda na kidini na ukabila. Chama cha waha. Hii dhambi itawatafuna mana mlianza kuwasingizia chadema sasa inawatafuna wenyewe. Mabango hapo yanasema eti zito ndie rais wa kigoma. Ukabila mtupu. Tangu lini mliwahi kusikia au kuona kitu kama hicho kwa arusha au kilimanjaro au tanga??? Ukabila huu unaonekana kigoma na mbeya. Hii nchi tunailewa. Huo uzalendo wa nchi unatoka wapi kama zito ndi rais wa kigoma!!??? Azimio la tabora ndo manake kuwa zito ndo rais wa kigoma!??? Msitufanye kuwa watz wote sie kuwa ni wajinga. Hakuna mtu mbaya ktk nchi hii kama zito ajifanyae mzalendo huku wafuasi wake wanaonesha dunia waz kuwa ni wabinafsi wakionesha zito ni rais wa kigoma wa waha...shame upon u zzk!!
 

Mbona CHADEMA WAMEJIKITA ARUSHA ; KILA MKUTANO MKUBWA ARUSHA; MWAKA 2015; CHADEMA WAMEFANYA MIKUTANO 200 ARUSHA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

Akili yako ipo ktk nyayo za miguu yako... kwa taarifa yako kwa miaka minne mfufuliz9 mikutano mingi ya chadema inafanyika mikoa ya mbea, mwanza, geita, katav, songea,shinyanga, n.k hii inchi sio ya kwako peke yako. Watu tunafuatilia siasa za.hii nchi zaidi yako. Usipotoshe umma hapa kilaza wew.
 
ZZK alisema haya kwenye mkutano aliofanya katika kata ya Ngoruka


Alisema "tukaenda Msoma, tukaenda Maswa mikoa 11 siku 12 Mfululuzo chama kikapokelewa vinzuri sana...."

Aliendelea kwa kusema
"... Kwa hiyo kote huko tulikopita, sasa mikoa 13 ya kutambulisha uongozi wa chama, wamekubali chama, Leo tuko kwa wenye chama, tulisema tukianza kwa wenye chama wataendeleeza zile propaganda hicho chama cha waha cha watu wa kigoma, tukasema tunakwenda kuanza kwa Wangoni.Tukaenda mpaka kwa wakurwa, wasukuma kwa haya leo tumerudi huku, KWA WENYE CHAMA na nyie hamjatuangusha kuanzia Kakongo, tumesimamishwa leo zaidi ya mara sita................................

Hakuishia hapo akaendelea kwa kusema
"........ Lakini nataka niwaambie Kigoma, na muwaambie ndugu zenu ambao wapo nje ya Kigoma hawapo kwenye mkutano huu Wala msiogope kuambiwa hiki ni chama chenu, tembeeni kifua mbele mkisema hiki ni chama chenu, hakuna ubaya wowote hiki kuwa ni chama chenu, hakuna ubaya wowote nyie kuwa na chama..... "
 
zzk alisema haya kwenye mkutano aliofanya katika kata ya ngoruka


alisema "tukaenda msoma, tukaenda maswa mikoa 11 siku 12 mfululuzo chama kikapokelewa vinzuri sana...."

aliendelea kwa kusema
"... Kwa hiyo kote huko tulikopita, sasa mikoa 13 ya kutambulisha uongozi wa chama, wamekubali chama, leo tuko kwa wenye chama, tulisema tukianza kwa wenye chama wataendeleeza zile propaganda hicho chama cha waha cha watu wa kigoma, tukasema tunakwenda kuanza kwa wangoni.tukaenda mpaka kwa wakurwa, wasukuma kwa haya leo tumerudi huku, kwa wenye chama na nyie hamjatuangusha kuanzia kakongo, tumesimamishwa leo zaidi ya mara sita................................

Hakuishia hapo akaendelea kwa kusema
"........ Lakini nataka niwaambie kigoma, na muwaambie ndugu zenu ambao wapo nje ya kigoma hawapo kwenye mkutano huu wala msiogope kuambiwa hiki ni chama chenu, tembeeni kifua mbele mkisema hiki ni chama chenu, hakuna ubaya wowote hiki kuwa ni chama chenu, hakuna ubaya wowote nyie kuwa na chama..... "

haya tuliyasema
 
ZZK alisema haya kwenye mkutano aliofanya katika kata ya Ngoruka


Alisema "tukaenda Msoma, tukaenda Maswa mikoa 11 siku 12 Mfululuzo chama kikapokelewa vinzuri sana...."

Aliendelea kwa kusema
"... Kwa hiyo kote huko tulikopita, sasa mikoa 13 ya kutambulisha uongozi wa chama, wamekubali chama, Leo tuko kwa wenye chama, tulisema tukianza kwa wenye chama wataendeleeza zile propaganda hicho chama cha waha cha watu wa kigoma, tukasema tunakwenda kuanza kwa Wangoni.Tukaenda mpaka kwa wakurwa, wasukuma kwa haya leo tumerudi huku, KWA WENYE CHAMA na nyie hamjatuangusha kuanzia Kakongo, tumesimamishwa leo zaidi ya mara sita................................

Hakuishia hapo akaendelea kwa kusema
"........ Lakini nataka niwaambie Kigoma, na muwaambie ndugu zenu ambao wapo nje ya Kigoma hawapo kwenye mkutano huu Wala msiogope kuambiwa hiki ni chama chenu, tembeeni kifua mbele mkisema hiki ni chama chenu, hakuna ubaya wowote hiki kuwa ni chama chenu, hakuna ubaya wowote nyie kuwa na chama.....

HAFAI KUIGWA KATIKA JAMII
 
Mbona hata CHADEMA kule kwa wachagga ndivyo kinavyojinasibu au mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
 
Back
Top Bottom