Kiongozi wa chama cha ACT - Wazalendo Zitto Kabwe apata mapokezi makubwa Mjini Kigoma

Chadema hali mbaya hata jana wamemkimbia kwenye mdahalo
Kijana naona anazidi kufanya vizuri kwenye siasa.

Bavicha turieni wa kumlaumu ni mbowe na slaa.

Jimbo la Kigoma mjini linashikiliwa na CCM lakini hamuitaji hapa very childish! Jana anaulizwa habari za kodi anaanza kumsifu kikwete na kumponda vibaya Mkapa, akionea hata dakika moja utamjua undani wake. Ndio maana ajenda zake alitaja udini na ukabila mungu atuepushe mbali ni hii balaaaa anataja vipau mbele udini na ukabila Duuuuuuuuuuuuuuu kumbuka waliola udini na ukabila siku zote ndi waenezaji wakuu wa udini na ukabila,.
 
hakuna kitu kama hicho. bado cdm ina nguvu sana tu....

Nakubaliana na wewe cdm ina nguvu,
Lakini nguvu iliyopo sasa haifanani na ile iliuokuwepo kabla ya kumtimua zito.

Pia vizuri chadema wabadili aina ya siasa wanayofanya kukabiliana na ujio wa act.
Vinginevyo watazidi kupotea.
 
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Kigoma jana wakati akiwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara wa kutambulisha viongozi wa chama hicho.





Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Kigoma jana wakati akiwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara wa kutambulisha viongozi wa chama hicho.





Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akicheza wimbo wa chama ulioimbwa na msanii, Baba Levo, wakati wa mkutano wahadhara mjini Kigoma jana.


Baadhi ya wakazi wa mji wa Kigoma wakifuatilia mkutano wa hadhara wa chama cha ACT Wazalendo mjini Kigoma jana.

Huyo ndiye kiongozi mkuu,na mwenyekiti wa chama,na viongozi wooote wa act,hapo ndiyo nyumbani kigoma na mapokezi ni ya kihistoria
 
Jimbo la Kigoma mjini linashikiliwa na CCM lakini hamuitaji hapa very childish! Jana anaulizwa habari za kodi anaanza kumsifu kikwete na kumponda vibaya Mkapa, akionea hata dakika moja utamjua undani wake. Ndio maana ajenda zake alitaja udini na ukabila mungu atuepushe mbali ni hii balaaaa anataja vipau mbele udini na ukabila Duuuuuuuuuuuuuuu kumbuka waliola udini na ukabila siku zote ndi waenezaji wakuu wa udini na ukabila,.

Mbunge wa sasa kigoma mjini alishinda kwa mbinde sana hadi matokeo kutangazwa zito akiwa na makamanda wengine wa cdm walipigwa sana mabomu,
Kudhihirisha kwamba kgm mjini ilikuwa bado ngome ya cdm.

Hivi sasa hali ni tofauti hujiulizi kwa nini?

Cdm badilikeni kumchafua zito hakutambomoa Bali mtazidi kumjenga.
 
mnadangany'wa na adobe movie maker ;kwa kuingiza sauti
technology za kizamani kama k
esi ya rwakatale ya ugaidi


mtangaika sana
thi is the end of tribalphobia

Kwahiyo unataka kusema kuwa geita hakuzomewa na bukoba hakuzomewa?
 
mnadangany'wa na adobe movie maker ;kwa kuingiza sauti
technology za kizamani kama k
esi ya rwakatale ya ugaidi


mtangaika sana
thi is the end of tribalphobia

Alafu inabidi muwe na akili ya kawaida,act haiwezi kutunishiana kifua na cdm act ni cha mtoto,cdm ni bonge la taasisi kubwa sana.nyie pambaneni muone kama mtapata angalau udiwani mwaka huu.
 
Chadema hali mbaya hata jana wamemkimbia kwenye mdahalo
Kijana naona anazidi kufanya vizuri kwenye siasa.

Bavicha turieni wa kumlaumu ni mbowe na slaa.

Dr hawezi kushindanishwa na mgombea udiwani zzk
 
Mbunge wa sasa kigoma mjini alishinda kwa mbinde sana hadi matokeo kutangazwa zito akiwa na makamanda wengine wa cdm walipigwa sana mabomu,
Kudhihirisha kwamba kgm mjini ilikuwa bado ngome ya cdm.

Hivi sasa hali ni tofauti hujiulizi kwa nini?

Cdm badilikeni kumchafua zito hakutambomoa Bali mtazidi kumjenga.

Hilo jimbo ni la CCM hukumuona Lowasa hapo? au ulijificha
 
Dr hawezi kushindanishwa na mgombea udiwani zzk

Mawazo kama haya ndiyo yatakayoiponza chadema,

Ni vizuri mkubali Kuwa zito tayari alishahama chadema na sasa ana chama kipya na yeye ndiye kiongozi mkuu wa chama hicho.

Kisiasa ana hadhi sawa na LIPUMBA,MBOWE,MAKAIDI, MBATIA na hata KIKWETE kwa uenyeviti wa chama.

Cdm msipolikubali hili mtapata shida sana.
 
Kwahiyo unataka kusema kuwa geita hakuzomewa na bukoba hakuzomewa?

kama umesoma IT AU COMPUTER SCIENCE AU VIDEO EDITING;
KUONGEZA SAUTI KITU CHA KAWAIDA;

JE WATU WALIOKUWA WANAMSIKILIZA WALIMAANISHA NN
 
Kuna watu wengi walikuwa wanasikia tu kuwa ZITTO ni MSALITI sasa ni zamu yao kushuhudia Yuda Iskariote.
kama umesoma IT AU COMPUTER SCIENCE AU VIDEO EDITING;
KUONGEZA SAUTI KITU CHA KAWAIDA;

JE WATU WALIOKUWA WANAMSIKILIZA WALIMAANISHA NN
 
Hakuna asiyejuma kuwa ZZK yuko chama kipya alichokiunda akiwa CHADEMA kwa kushirikiana na CCM ili kuua upinzani.
Mawazo kama haya ndiyo yatakayoiponza chadema,

Ni vizuri mkubali Kuwa zito tayari alishahama chadema na sasa ana chama kipya na yeye ndiye kiongozi mkuu wa chama hicho.

Kisiasa ana hadhi sawa na LIPUMBA,MBOWE,MAKAIDI, MBATIA na hata KIKWETE kwa uenyeviti wa chama.

Cdm msipolikubali hili mtapata shida sana.
 
Naogopa kuharibu swaumu yangu! La sivyo ningekujibu jibu linaloendana na uwezo wako wa kufikiri.Fuatilia mambo vizuri kabla yakuja hapa
Mbona kila siku yuko kigoma, yeye si alisema hana siasa za ukanda inakuwaje? Na ACT wameona sehemu nyingine kugumu? Dogo uliongelea wenzako mabaya lakini malipo ni hapa hapa duniani. Mungu anakuumbua
 
Jimbo la Kigoma mjini linashikiliwa na CCM lakini hamuitaji hapa very childish! Jana anaulizwa habari za kodi anaanza kumsifu kikwete na kumponda vibaya Mkapa, akionea hata dakika moja utamjua undani wake. Ndio maana ajenda zake alitaja udini na ukabila mungu atuepushe mbali ni hii balaaaa anataja vipau mbele udini na ukabila Duuuuuuuuuuuuuuu kumbuka waliola udini na ukabila siku zote ndi waenezaji wakuu wa udini na ukabila,.

Nadhani unamatatizo
 
Back
Top Bottom