Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,895
- 940
📍 DODOMA
Bungeni 26/05/2022
Mheshimiwa Spika Dkt Tulia Ackson akitambulisha wageni wake ambao ni Vijana wa Kitanzania wanaotarajiwa kwenda nchini Marekani mwezi ujao (June 2022) kwa mafunzo maalumu ya YALI Mandela Washington Fellowship 2022.
Vijana hawa watawakilisha Tanzania katika programu hii itakayounganisha viongozi vijana kutoka Bara la Afrika wote masomoni nchini Marekani kwenye program hii.
Upatikanaji wa vijana hawa ni baada ya usahili uliofanyika chini ya ubalozi wa Marekani kwa kina na kati ya wengi waliojitokeza kuomba nafasi hizi wachache wamefanikiwa kikidhi vigezo vya kushiriki.
Vijana hawa wamefika Bungeni Dodoma wakiongozwa na mshiriki mwenzao Victoria Charles Mwanziva.
#YALI2022
Bungeni 26/05/2022
Mheshimiwa Spika Dkt Tulia Ackson akitambulisha wageni wake ambao ni Vijana wa Kitanzania wanaotarajiwa kwenda nchini Marekani mwezi ujao (June 2022) kwa mafunzo maalumu ya YALI Mandela Washington Fellowship 2022.
Vijana hawa watawakilisha Tanzania katika programu hii itakayounganisha viongozi vijana kutoka Bara la Afrika wote masomoni nchini Marekani kwenye program hii.
Upatikanaji wa vijana hawa ni baada ya usahili uliofanyika chini ya ubalozi wa Marekani kwa kina na kati ya wengi waliojitokeza kuomba nafasi hizi wachache wamefanikiwa kikidhi vigezo vya kushiriki.
Vijana hawa wamefika Bungeni Dodoma wakiongozwa na mshiriki mwenzao Victoria Charles Mwanziva.
#YALI2022