Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,453
Hebu share hapa kinywaji chako ukipendeleacho zaidi na kwa nini unakipenda. Anza Mshana Jr


Subiri nitoke church nitupie na picha kabisaSent using Jamii Forums mobile app
Hebu share hapa kinywaji chako ukipendeleacho zaidi na kwa nini unakipenda. Anza Mshana Jr


Subiri nitoke church nitupie na picha kabisaHahahaha..tupia na mm nitupie ya kinibu kwa mama helena
Wewe subiri tu utaonaHahahaha..tupia na mm nitupie ya kinibu kwa mama helena

Banana kwa Mangi hapawanzuki 💃
Nilifundishwa ulevi na rafiki yangu mmoja mchagga alikuwa ananipeleka Ubungo kisiwani kwenye mbege kila jioni enzi hizo za utawala wa Mwinyi. Sehemu kubwa ya maongezi yalikuwa ni kuhusu ama "dukani mwangu" au "daladala yangu".Banana kwa Mangi hapa
HahahahahahaNilifundishwa ulevi na rafiki yangu mmoja mchagga alikuwa ananipeleka Ubungo kisiwani kwenye mbege kila jioni enzi hizo za utawala wa Mwinyi. Sehemu kubwa ya maongezi yalikuwa ni kuhusu ama "dukani mwangu" au "daladala yangu".
Hii nilimiksia na Kvant.. kuna dem akapalamia kunywa.. si tamuu? Akagida weeeee baada ya dk 10 nikaona mtu ananishika shika kifuani.napenda Ceres Apple
Ni tamu, nikinywa hasa ikiwa ya baridi kidogo inapita vyema kabisa kooni
Amarula ni kinywaji cha mademu? Mi huwa naigonga mixer na grants, dada zangu hunicheka sana eti ni cha wanawakeMaji,amarula