Kinywaji gani hiki wakuu?

Kinywaji gani hiki wakuu?

Invisible

JF Admin
Joined
Feb 26, 2006
Posts
16,286
Reaction score
8,447
bwagamoyo.jpg


BTW: Ni Bagamoyo hapa
 
Maeneo ya ziwani haya!..Mkuu, acha kuzuga bana...Hii ni Rubisi!
 
mkuu hapo ni maeneo ya pwani........, so i think ni MNAZI huo.......!
 
Bila ajizi hiyo ni Juisi ya ukwaju, pale Bagamoyo Boma.
 
Ni mirinda, sprait, koka n.k (nyingine hazionekani vizuri)....
 
They call it Togwa
Made:
Wanachemsha kama uji, unakaa siku kadhaa unachachuka
Then unakuwa tayari kwa matumizi
Non-alcoholic drink.....
Ni nzuri ikitumiwa na mabumunda, Mabindo, Kashata au bagia za kunde!!!
Karibuni yote!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom