Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.
Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi angalao madhara yake ni kidogo kuliko zingine?
Je ni spirit,lager,light,red wine au ni ipi?Siyo lazima kutaja moja kwa moja jina la kiwanda au brand name sababu inaweza ku promote au kuharibu biashara ya watu.Tutumie lugha za waliosoma CUBA tu
Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi angalao madhara yake ni kidogo kuliko zingine?
Je ni spirit,lager,light,red wine au ni ipi?Siyo lazima kutaja moja kwa moja jina la kiwanda au brand name sababu inaweza ku promote au kuharibu biashara ya watu.Tutumie lugha za waliosoma CUBA tu