Huyo chizi nani amchague
Basi hapo ndio penye tatizo mtu mwenye akili timamu hachagui sababu ni chama gani bali anachagua kwa sababu huyo mtu atapresent vipi matatizo yao huku akijenga hoja kingwendu hawezi kujenga hoja kama anaweza kupitia ucheshi wake angeweza kuprisent matatizo ya jamii lakini yeye anachekesha kwa vitu vya kipuuzi tu
Basi hapo ndio penye tatizo mtu mwenye akili timamu hachagui sababu ni chama gani bali anachagua kwa sababu huyo mtu atapresent vipi matatizo yao huku akijenga hoja kingwendu hawezi kujenga hoja kama anaweza kupitia ucheshi wake angeweza kuprisent matatizo ya jamii lakini yeye anachekesha kwa vitu vya kipuuzi tu
Labda Kingwendu hafai...huu sio muda wa kushangaa au kulaumu wananchi, laumu mfumo uliosababisha haya maamizi kisha chukua hatua.
Dah kweli kukosa elimu kunakutesa dada, kama ungekuwa uliwahi kwenda chuo chochote kila hata cha mtaa wa saba ungesoma somo linaitwa Sociology na kuna topic mle inaelezea mambo ya ROLES. Kingwendu ni mwana jamii mwenzetu, atasikiliza hoja zetu na kuzipeleka bungeni, akibadili role na kurudi kwenye uigizaji anapiga kazi yake anapata hela. Hakuna role conflict hapoBasi hapo ndio penye tatizo mtu mwenye akili timamu hachagui sababu ni chama gani bali anachagua kwa sababu huyo mtu atapresent vipi matatizo yao huku akijenga hoja kingwendu hawezi kujenga hoja kama anaweza kupitia ucheshi wake angeweza kuprisent matatizo ya jamii lakini yeye anachekesha kwa vitu vya kipuuzi tu
heeh heeh walaumiwe TIA kumpa diploma chizi,unajua Kingwendu kakuzidi elimuHuyo chizi nani amchague
Nimegungua vijana wa ukawa wengi ama uwezo wao ni mdogo au hawakusoma shule sababu hata kuandika kiswahili kwao shida. Natabiri kura zao nyingi kuharibika sababu ya kutojua kusoma na kuandika. Magufuli oyee
Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo
Huyo chizi nani amchague