Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

Kingwendu.._full.jpg
 
Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo

Ndio ukosawa nikweli kunatatizo ccm.
Ndiomana wanakisarawe wameamua kuiondoa ccm kwa njia yoyote ile hata kwa kingwendu ilimradi tu ccm wang'oke.

"Tafakari"
 
Kama Jah People na Maji Marefu ni Wabunge kwanini isiwe kwa kingwendu mwenye Elimu ya Diploma

Mkuu achana na Dip Kingwendu ni mtu mstaarabu zaidi kuliko hata wabunge wa ccm ambao shida yao ni kutetea chama badala ya wananchi
 
Kwa taarifa tu, sisi tusichotaka ni kitu kinachoitwa ccm. Inabidi mvumilie dawa iingie maana hamna namna.
 
Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo

Kama Prof Long water, Kibajaji, na Mzee Wa miongozo na gombe waliweza basi kila mtu ataweza. Uchekeshaji ni fani kama zilivyo fani nyingine.
 
Sisiemu Ilitaka kumuua kingwendu na king sepeto kwa ajali.
 
Nimegungua vijana wa ukawa wengi ama uwezo wao ni mdogo au hawakusoma shule sababu hata kuandika kiswahili kwao shida. Natabiri kura zao nyingi kuharibika sababu ya kutojua kusoma na kuandika. Magufuli oyee

Huduma za Afya duni kuliko wakati wowote ule, kodi haikusanywi hasa kwa matajiri,elimu imekuwa kitendawili,viwanda vimekufa na vilevilivyobinafsishwa serikali imeshindwa kusimamia,Barabara zimejengwa chini ya kiwango,wanyama kutoroshwa,mrahaba wa madini kidogo sana,kukithiri kwa rushwa,ufisadi,matumizi mabaya ya fedha za umma,ajira tatizo,makazi duni,migogoro ya ardhi na uovu mwingine, haya huyaoni? We we akili zako ziko chini ya kiwango cha kuwa binadamu kwa kukosa lishe
 
sasa hv ubunge ni check and balance hawa mapro and maphd wametwibia sasa bas kingwendu mp 2015
 
Kingwendu ni Diploma holder, kwa hiyo sio wa kumdharau.
Aliamua kuwa muigizaji baada ya kuacha kazi TBL

Hata la saba ni la kubabatiza! TBL alikuwa mbeba matupu (empties) !
 
Huduma za Afya duni kuliko wakati wowote ule, kodi haikusanywi hasa kwa matajiri,elimu imekuwa kitendawili,viwanda vimekufa na vilevilivyobinafsishwa serikali imeshindwa kusimamia,Barabara zimejengwa chini ya kiwango,wanyama kutoroshwa,mrahaba wa madini kidogo sana,kukithiri kwa rushwa,ufisadi,matumizi mabaya ya fedha za umma,ajira tatizo,makazi duni,migogoro ya ardhi na uovu mwingine, haya huyaoni? We we akili zako ziko chini ya kiwango cha kuwa binadamu kwa kukosa lishe

Tutaanza na Lowassa kukusanya kodi
 
Gaselle,kwani unaweza ukafananisha Kingwendu na Asumta Mshana?kwa ability ya ku synchronize matters?tuwe wakweli Kingwendu anaweza pia jengeni Imani na maoni ya wananchi na si kuona nyie pekee ndiyo mnajua zaidi.
 
Back
Top Bottom