Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo

Labda Kingwendu hafai...huu sio muda wa kushangaa au kulaumu wananchi, laumu mfumo uliosababisha haya maamizi kisha chukua hatua.
 
Kiswahili kinapotea kabisa yaani mtu timamu kabisa anaandika kisalawe.... badala ya Kisarawe

Hapo sio kiswahili kimekosewa,inawezekana kuna mahali pengine duniani panaitwa hivyo tofauti na Kisarawe unayoijua wewe!
 
Sipati picha hilo bunge la mwaka 2016 litakuwaje
 
Watu wengi hawajui kama kingwendu ana diploma ya uhasibu kaisomea TIA.wanadhani ni mchekeshaji tu,ni mhasibu pia
 
Kingwendu ni mbunge anayesubiri kuapishwa rasmi sasa magamba mwaka mtaisoma namba.
TANZANIA MPYA INAKUJA CHINI YA UTAWALA MPYA WA RAISI KIPENZI CHA WATANZANIA LOWASA.
 
Si Kingwendu tu, muda wa mabadiliko ukiwadia hata jiwe litachaguliwa kuongoza ili mradi mabadiliko yatimie!
Basi hapo ndio penye tatizo mtu mwenye akili timamu hachagui sababu ni chama gani bali anachagua kwa sababu huyo mtu atapresent vipi matatizo yao huku akijenga hoja kingwendu hawezi kujenga hoja kama anaweza kupitia ucheshi wake angeweza kuprisent matatizo ya jamii lakini yeye anachekesha kwa vitu vya kipuuzi tu
 
Are you serious kweli kingwendu awe mbunge lazima kunatatizo

Mtu yoyote akipitishwa na tume ya uchaguzi maana yake hakuna shida wala tatizo na anaweza kuongoza, Mkuu ile ni kazi tu anayoifanya katika kutafuta kipato hivyo usim-judge kwa jinsi anavyochekesha na alivyo anapokuwa kazini kwa kuwa kuna watu ambao kwa mwonekano ni wa maana na ndio wanaoburudika kwa kile anachokifanya
 
Watu wakishamchagua mtu hakuna jinsi ni kukubali matokeo kama ilivyotokea kwa lowasa na kingwendu hivyo hivyo,slaa amemshambulia lowasa kumbe tabora,rukwa , kigoma na nchi nzima wamempuuza ukiondoa vijana wachache wasio wazalendo wanaonunuliwa kuandamana.
 
Kama maji marefu, job lusinde wameweza kuwa wabunge kwa nini yeye ashindwe
 
Back
Top Bottom