Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,972
- 30,154
Ndio maana yakeKwa hiyo yeye anaunga mkono watumishi kupewa aslimia ishirini na tano ya mafao yao? Kweli ukiwa upande huo lazima ujitoe ufahamu
Ndio maana yakeKwa hiyo yeye anaunga mkono watumishi kupewa aslimia ishirini na tano ya mafao yao? Kweli ukiwa upande huo lazima ujitoe ufahamu
Maniner kila mtu ataisoma namba nawaambieniKuna mama jirani yangu ni mnazi wa ccm vibaya sana, mwakani anastaafu ni mwalimu...aliposikia sheria hii mpya mama wa watu amepigwa na baridi anaumwa kila siku. Nilijaribu kuchunguza tatizo ni nini nikaambiwa alikopa sana akitegemea kupewa pesa nyingi kwa mkupuo ili zingine alipe madeni na salio afungue biashara.
Hua namtania mama VP umejiandaaje na sheria mpya, anasema mwanangu we acha tu....mwisho namwambia ni maombi ya chama chetu kwa serikali lazima tuyakubali kwa mikono miwili....anakua kimya.
Ila ccm mtawauwa wanachama wenu kwa pressure jamani....mnadhani mnamkomoa Mbowe na kampani yake kumbe sisi neo tunaumia, ipo siku jua litawaka wakati wa giza tororo
Karma is a bitchWabunge wa CCM Tusiyumbe.
Nimeanza kwa Wabunge wa CCM kwa sababu kubwa kwanza sisi chama chetu ndicho kilicho na dhamana ya kuwaongoza watu wa nchi hii.
Lobbing zimeanza za Makampuni makubwa ya Migodi kupinga sheria ya Fao la kujitoa.makampuni binafsi nayo yataanza soon kupinga uamuzi huu kwa maslahi ya wachache Maslahi yasiyozingatia maono ya nchi na Usalama wa Taifa.Maslahi yanayoangalia siasa za muda za kuwafurahisha wanaharakati huku taifa likikosa nguvu ya kiuchumi.
Nawatahadharisha wabunge wote na hasa wa Chama changu CCM,tuwe makini na kila move hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli amekuja na mwanga juu ya hatma ya viwanda vya nchi hii;Magufuli ameamua nchi iwe ya viwanda kupitia Mifuko hii ya kijamii,Lakini naona mapandikizo yakutaka kuidhoofisha mifuko hii,Mipango hii wanajua wanaoiratibu nia yao lakini wabunge wenzangu na wana CCM fao lakujitoa ni miongoni mwa mipango ovu ya kutaka kumdhoofisha Rais Magufuli na kudhoofisha mapato ya mifuko hii iliyoelekezwa kusimamia mageuzi ya viwanda nchini.
Kwanini watanzania kila jambo tuliwekee siasa?Uimara wa mifuko.ya kijamii popote duniani ndio kiini cha Usalama wa Taifa,Usalama.wa nchi katika kila nyanja iwe ya dharura za kiulinzi au kukuza uchumi hii ni roho ya nchi hasa nchi Hizi zinazoendelea.
Tuwe makini sana juu ya hawa wanaotaka kuturudisha nyuma.Rais anadira ya viwanda,Mifuko hii imepewa jukumu hili kwanini tuanze kutaka kuwadhoofisha.Kwa haraka haraka NSSF wanaweza kuokoa karibu biln 60 pesa ambazo kwa nchi changa kama hii zikiwekezwa kwa busara na uzalendo zinalifanya taifa lipae kiuchumi.
Watanzania tuache siasa pesa hizi ni za watanzania wakifikisha umri unaostahili watalipwa nchi hii lazima itangulize maslahi ya wengi kwa faida ya vizazi,tuache harakati na siasa za kutaka sifa kwa mambo mazito yanayogusa ustawi na usalama wa nchi.
Tuache mifuko ikusanye pesa a kuwekeza kwenye viwanda .Tuache ubinafsi kwa faida ya vizazi vinavyokuja.
Kingu Elibariki
MP Singida West
Na kwanini na wewe unasoma na majitu ya hovyo hiviKingu nimesoma na wewe japo nilikuwa mbele yako. Nilikuwa nakuamini lakini sikuwahi kuwaza kuwa wewe ni mjinga kiasi hicho. Inakuwaje uwapangie watu matumizi ya pesa zao au upange bajeti zako za Viwanda kwa maumivu ya wenye pesa na kinyume na matakwa yao
na wabunge pia wanatakiwa kupewa 25% ya kiinua mgongo, ziada wachukue 75%, kwa miaka 12.5 kama mshahara kila mweziWabunge wa CCM Tusiyumbe.
Nimeanza kwa Wabunge wa CCM kwa sababu kubwa kwanza sisi chama chetu ndicho kilicho na dhamana ya kuwaongoza watu wa nchi hii.
Lobbing zimeanza za Makampuni makubwa ya Migodi kupinga sheria ya Fao la kujitoa.makampuni binafsi nayo yataanza soon kupinga uamuzi huu kwa maslahi ya wachache Maslahi yasiyozingatia maono ya nchi na Usalama wa Taifa.Maslahi yanayoangalia siasa za muda za kuwafurahisha wanaharakati huku taifa likikosa nguvu ya kiuchumi.
Nawatahadharisha wabunge wote na hasa wa Chama changu CCM,tuwe makini na kila move hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli amekuja na mwanga juu ya hatma ya viwanda vya nchi hii;Magufuli ameamua nchi iwe ya viwanda kupitia Mifuko hii ya kijamii,Lakini naona mapandikizo yakutaka kuidhoofisha mifuko hii,Mipango hii wanajua wanaoiratibu nia yao lakini wabunge wenzangu na wana CCM fao lakujitoa ni miongoni mwa mipango ovu ya kutaka kumdhoofisha Rais Magufuli na kudhoofisha mapato ya mifuko hii iliyoelekezwa kusimamia mageuzi ya viwanda nchini.
Kwanini watanzania kila jambo tuliwekee siasa?Uimara wa mifuko.ya kijamii popote duniani ndio kiini cha Usalama wa Taifa,Usalama.wa nchi katika kila nyanja iwe ya dharura za kiulinzi au kukuza uchumi hii ni roho ya nchi hasa nchi Hizi zinazoendelea.
Tuwe makini sana juu ya hawa wanaotaka kuturudisha nyuma.Rais anadira ya viwanda,Mifuko hii imepewa jukumu hili kwanini tuanze kutaka kuwadhoofisha.Kwa haraka haraka NSSF wanaweza kuokoa karibu biln 60 pesa ambazo kwa nchi changa kama hii zikiwekezwa kwa busara na uzalendo zinalifanya taifa lipae kiuchumi.
Watanzania tuache siasa pesa hizi ni za watanzania wakifikisha umri unaostahili watalipwa nchi hii lazima itangulize maslahi ya wengi kwa faida ya vizazi,tuache harakati na siasa za kutaka sifa kwa mambo mazito yanayogusa ustawi na usalama wa nchi.
Tuache mifuko ikusanye pesa a kuwekeza kwenye viwanda .Tuache ubinafsi kwa faida ya vizazi vinavyokuja.
Kingu Elibariki
MP Singida West
sijui magufuli amekua ndio Mungu huko ccm...... mbona kama wanamwogopa sana hawa jamaa?Idiocy at it's worst! Wabunge wa ccm wawe wa kwanza kuchangia hiyo mifuko angalau 50% ya mafao yao tuone uzalendo wao. Sio kuwafanya wafanyakazi wengine tu ndio "wachangie".
ni kweli ni serikali ya wanyonge,...........ccm ndiyo wamepata mtaji kwa kuwanyonga wanyonge!!!!Kama serikali hii inavyojinadi kuwa ya wanyonge inatakiwa wanyonge msilalamike furahini mkiitwa wanyonge ili Mnyongwe vizuri.
Ndugu kweli kabisa Singida na wabunge wakiajabu, tuanze na :Huyu Kingu sijawahi kumuamini kabisa...... Sijui kwanini Singida ina wabunge wa ajabu ajabu!
Alikopeshwa na mil.6 wakati anaenda china ripoti ya CAG mzee ni hatari sanaNdio Huyo Mkuu Jizi aka Fisadi hadi Uhuru wakalikataa eti sasa linajifanya jema.
View attachment 945264
Jamaa ni Lijizi Sana cha kushangaza fedha zote linahonga,limewekeza kwa mchepuko kamnunulia hadi Range Rover,Mchepuko wake full bata halafu linataka wazeee wapewe 25% tu wakistaafu wakati lenyewe ndio fisadi na jizi kweli kweli hadi ccm kupitia uhuru wakalikataaa!Alikopeshwa na mil.6 wakati anaenda china ripoti ya CAG mzee ni hatari sana
Huyu malay* naye loh...kwa hiyo kujenga viwanda ndo kuwataabishe wafanyakazi!Wabunge wa CCM Tusiyumbe.
Nimeanza kwa Wabunge wa CCM kwa sababu kubwa kwanza sisi chama chetu ndicho kilicho na dhamana ya kuwaongoza watu wa nchi hii.
Lobbing zimeanza za Makampuni makubwa ya Migodi kupinga sheria ya Fao la kujitoa.makampuni binafsi nayo yataanza soon kupinga uamuzi huu kwa maslahi ya wachache Maslahi yasiyozingatia maono ya nchi na Usalama wa Taifa.Maslahi yanayoangalia siasa za muda za kuwafurahisha wanaharakati huku taifa likikosa nguvu ya kiuchumi.
Nawatahadharisha wabunge wote na hasa wa Chama changu CCM,tuwe makini na kila move hasa kipindi hiki ambacho Rais Magufuli amekuja na mwanga juu ya hatma ya viwanda vya nchi hii;Magufuli ameamua nchi iwe ya viwanda kupitia Mifuko hii ya kijamii,Lakini naona mapandikizo yakutaka kuidhoofisha mifuko hii,Mipango hii wanajua wanaoiratibu nia yao lakini wabunge wenzangu na wana CCM fao lakujitoa ni miongoni mwa mipango ovu ya kutaka kumdhoofisha Rais Magufuli na kudhoofisha mapato ya mifuko hii iliyoelekezwa kusimamia mageuzi ya viwanda nchini.
Kwanini watanzania kila jambo tuliwekee siasa?Uimara wa mifuko.ya kijamii popote duniani ndio kiini cha Usalama wa Taifa,Usalama.wa nchi katika kila nyanja iwe ya dharura za kiulinzi au kukuza uchumi hii ni roho ya nchi hasa nchi Hizi zinazoendelea.
Tuwe makini sana juu ya hawa wanaotaka kuturudisha nyuma.Rais anadira ya viwanda,Mifuko hii imepewa jukumu hili kwanini tuanze kutaka kuwadhoofisha.Kwa haraka haraka NSSF wanaweza kuokoa karibu biln 60 pesa ambazo kwa nchi changa kama hii zikiwekezwa kwa busara na uzalendo zinalifanya taifa lipae kiuchumi.
Watanzania tuache siasa pesa hizi ni za watanzania wakifikisha umri unaostahili watalipwa nchi hii lazima itangulize maslahi ya wengi kwa faida ya vizazi,tuache harakati na siasa za kutaka sifa kwa mambo mazito yanayogusa ustawi na usalama wa nchi.
Tuache mifuko ikusanye pesa a kuwekeza kwenye viwanda .Tuache ubinafsi kwa faida ya vizazi vinavyokuja.
Kingu Elibariki
MP Singida West