shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,800
- 4,319
Fuata mtiririko huu wa kununua kingamuzzz
Dstv
Azam tv
Startimes
Zuku
Ting
Continental
Digteck
Nk
Dstv
Azam tv
Startimes
Zuku
Ting
Continental
Digteck
Nk
Ni kweli kabisa azamtv ni ya pili baada ya dstvBaada ya dstv ni azam, wala tuaidanganyane hapa!!
Aaaahhh acha bwana kuna Ile ya dish mi nnaitumia ni noouuuuuumastar times mie sikushauri hata kidogo maana kwa sasa vinascratch kama cd iliyokwisha hata raha hakuna,picture quality yao wala sio nzuri na pia hata programs sio nzuri saana! Pia hata program info hawana ili kuweza kujua ni kipindi gani na kinahusu nini. Ila they're the cheapest.
Upande wa dstv japokuwa bei zao zipo juu kidogo lakini they're the best na ukiangalia bundle zao zipo za kawaida kama compact na compact plus(kama ni mpenzi wa epl). Compact ni around 48 elfu hivi wakati inayoitwa the best kwa star times ni 40000 plus low picture quality!
Pia kwa dstv unaweza kuseti reminder kwa tv program zijazo hata kwa cku 3 zijazo so hapo hupitwi kitu ambacho star times hakuna! Go for dstv and am sure you wont regret it
Tangu ving'amuzi vimeanza nimetumia DSTV sina experience sana na ving'amuzi vingine,sidhani kama kipo kizuri zaidi yake.Kwenye movies ZUKU walikuwa afadhaliMkuu Belo, kwa mtu mwenye interest na Action Movies... unamshauri achukue king'amuzi gani? mbali na DSTV.
-Kaveli-
Hiyo post mie nimerespond ilikuwa ni kabla hata ya kuwa na ving'amuzi vya dish na mie nilichukuaga vile vya kwanzaa kombe la dunia 2010 South Africa. Cheki hata tarehe ya huu uzi kupostiwa kwanza mkuu. Ila pamoja na hayo bado hawawezi (star times) kukamata moto wa Azam Tv.Aaaahhh acha bwana kuna Ile ya dish mi nnaitumia ni noouuuuuuma
Personally hakuna tv inayoonyesha movies za maana zaidi ya tv za ku stream mfano uwe na android box au apple tv au smart tv.Mkuu Belo, kwa mtu mwenye interest na Action Movies... unamshauri achukue king'amuzi gani? mbali na DSTV.
-Kaveli-