Adrian Stepp
R I P
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,600
Busara iko hivi: Ukipenda kukosoa wenzako,ni vema na wewe ukakubali kukosolewa.
Wewe umeulizwa swali:Zuku ni nini kama sio king'amuzi? Hujamjibu.Idimi kasema Ting ni service provider,wewe umekubali,je tuna kampuni hapa Tanzania inayoitwa Ting? Zuku ni kampuni,hilo wote tunafahamu,je decoder(ving'amuzi) zinaitwaje?
Halafu pia utuambie maana ya puplic broadcasters.Je ITV,EATV,CH10,TBC1 na Startv wenyewe si public broadcasters?Na kama sio sio,wao ni akina nani?
POINT OF CORRECTION
POINT OF CORRECTION
Zuku si king'amuzi..Kuna ving'amuzi vya aina tatu tu
1.Digitek
2.Startimes
3.ATN
Zuku ni sawa na Dstv, Eazy Tv etc
POINT OF CORRECTION
Zuku si king'amuzi..Kuna ving'amuzi vya aina tatu tu
1.Digitek
2.Startimes
3.ATN
Zuku ni sawa na Dstv, Eazy Tv etc