124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,812
- 5,522
Hata mimi namshangaa jamaa anayependekeza uchomoe card wakati kingamzi kiko on!!. Nani kasema kingamzi kina option za HOT SWAPPING!! Hivi anajua kinacho sababisha picha kugandaganda? Picha/signal za dijitali ziko highly directional - lakini Wachina nadhani mwezi ujao watafungua transmitter ya Makongo ili isaidie kuondoa tatizo hilo sungu - Wachina awashindwi kitu mkuu! Hisipo kuwa nawakumbusha wawahuzie wateja vingamzi vya DVB-T2 Standard; wasilete mambo ya ujanja janja, wana misuli ya kusambaza Africa, Merikani ya kasikazini na kusini, Ulaya nk sasa kwac nini hawataki kuhuza vingamzi vyenye standard inayo kubaliki kimataifa kwa sasa hivi na kwa nini TCRA haivalii njuga swala hili mbona Uganda waliwakomalia Wachina mpaka waka-comply kwa kuangiza vingamzi vyenye standard inayokubalika hapa kwetu kuna nini lakini - TCRA wajali sana RAIA siyo kupoteza muda kwenye makongamano yasiyo na tija na kuwaogopa WACHINA.
Ndugu ahsante kwa msisitizo juu ya hofu yangu kuhusiana na tiba mbadala aliyopendekeza mleta uzi ,kwa update huku pande za zenji startime sasa hakuna mgogoro wamenibadilishia king.amuzi nafikiri ndiyo hiyo T2 sasa nang'amua bila shida!